mkagulu original
JF-Expert Member
- Dec 30, 2013
- 703
- 172
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
Sijajua una manisha hasara kwa upande upi ujumbe wakao umekuwa mfupi mno mkuu. kwenye biashara yako au? kama ni kwenye biashara yako funguka kidogo ili tupate mwanga wa kukupa usharui. Kama ni kwa kila jambo ufanyalo linakwama njia pekee ni kwenda kwenye maombezi na ku-muamini Mungu atakusaidia.
Sijajua una manisha hasara kwa upande upi ujumbe wakao umekuwa mfupi mno mkuu. kwenye biashara yako au? kama ni kwenye biashara yako funguka kidogo ili tupate mwanga wa kukupa usharui. Kama ni kwa kila jambo ufanyalo linakwama njia pekee ni kwenda kwenye maombezi na ku-muamini Mungu atakusaidia.
Usiulize maswali mengi, utampandisha hasira huyo aisee.
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
muda wako wa mapumziko pendelea kukaa sehem zenye utani mwingi, kama kwenye bao n.k. jifunze ucheshi na utani,huku moyoni ukiahidi hata utaniwe vipi hutakasirika!
kaa peke yako muda wote wa maisha yako, kama hujaridhika na ushauri wangu nenda jf dokta
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!
wanajf naomba mesaada wenu. Ninatatizo la kuwa na hasira kupita kiasi hata kwa jambo dogo tu!