Nifanyeje ili nihamie kwenye kituo cha kazi mkoa mwingine

vamda

JF-Expert Member
Joined
Aug 1, 2012
Posts
895
Reaction score
571
Salaam wana JF. Mimi ni mwalimu wa sekondari. Mzazi wangu naye ni mwajiriwa lakini sasa ni mgonjwa sana, anaishi mbali na mimi (mkoa mwingine). Naomba kujuzwa taratibu za kufanya ili niweze kuhamia aliko ili nimuuguze maana nimechoka kila mara kuomba ruhusa kwenda kumuuguza. Nawasilisha kwenu waungwana.
 
Andika barua kwa mwajiri wako ukiomba uhamisho na ukiainisha sababu za kuhamia huko dah! walimu wetu jamani na hili hujui?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…