Kuna dogo alikuwa Udom ana tatizo kama lako. Uzuri tulikuwa tunafahamiana na moja ya mtu Necta, alishauri aiandikie barua necta kwamba cheti chake hajapata na aonyeshe complains kuanzia shule, na afisa elimu.
Ila mwishoni ilikuja kujulikana shule nyingi za Wazazi zinazoendeshwa na CCM zina tabia ya kuuza vyeti.