Nifanyeje ili niwe nadhifu?

Nifanyeje ili niwe nadhifu?

Heci

JF-Expert Member
Joined
Aug 14, 2016
Posts
3,591
Reaction score
6,114
Nimepata mchumba, kwa kweli ananipenda sana na hanisumbui hata kidogo.
Malalamiko yake ni kuwa siko nadhifu.

Nimejaribu kununua nguo mpya, boxer, soksi, viatu na mikanda.
Nanyoa ndevu na nywele mara kwa mara.

Nina deodorant na body spray pia perfumes, lakini bado hajaridhika na kiwango changu cha utanashati.

Nifanyeje jamani?
 
Yeye alitakiwa akufahamu kwanza size za nguo, viatu, afu ajiongeze kwa kimoja kimoja dukani anakuletea, kesho anakuja iki, keshokutwa kile, sema labda kama humpi mkwanja.....ingekuwa ni mm pesa unayonipa iyo iyo ndo ingekubadilisha uonekane vile nataka......kama huna ela na yeye bado ni mtoto basi ataishi kubadilisha wanaume
 
Mkuu jifunze ata google iv how to be a gentlemen, unaweza kupga pamba ila usiwe gentlemen means the way you walking, sitting, talking, and so far..ni muhimu kuvijua unadhifu mda mwingine unaanzia kwenye reaction zako, dress approviate as gentle utakuwa frsh najua ukizingatia, usivae kitoto yan mirangirangi mingi ya kung'aa noo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Yeye alitakiwa akufahamu kwanza size za nguo, viatu, afu ajiongeze kwa kimoja kimoja dukani anakuletea, kesho anakuja iki, keshokutwa kile, sema labda kama humpi mkwanja.....ingekuwa ni mm pesa unayonipa iyo iyo ndo ingekubadilisha uonekane vile nataka......kama huna ela na yeye bado ni mtoto basi ataishi kubadilisha wanaume
Yeah,nakubaliana na wewe kabisa nakumbuka nilivyoanza kulazimishwa kufunga tai,ilihali hata shuleni tu walimu walichemka,lakini kwa nguvu ya mwanamke niliweza na nikazoea ili tu afurahi,,wanawake shikamoo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Anza kuvaa jinsi na tisheti za kuchanika chanika, vaa hereni, nyoa kiduku. Bila kusahau suruari uwe unaishusha chini ya makalio kidogo.😀😀

Andaa hela siku hiyo mwambie unahitaji akusindikize kufanya shopping, mwachie yeye daraka la kukuchagulia nguo.
 
Yawezekana unanunua nguo zisizo pigo zako.

Hiyo hali huwa ipo kwa watu wachache pia.
Na wengine hata wavaeje ila haziwezi kumkaa poa!

1. Jiweke tofauti
2. Mwende naye shopping ili akuchagulie pigo za kufanana nawe
3. Fuata moyo wako tu.

Lasivyo unaweza jikuta unapiga pigo za Koffi Olomide wa Congo!

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom