Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

Nifanyeje ili niweze kuonana na mkuu ONTARIO

ndeankar

Member
Joined
Feb 8, 2016
Posts
57
Reaction score
47
Wakuu kama kichwa cha Habari kinavyojieleza, ni kwa muda mrefu sasa huyu jamaaa amekua akiniongoza kwenye mambo tofauti tofauti kutokana na kua na ideas kama za kwangu tofauti tuu yeye anamkono wa mafanikio sanaaaa.

Ukweli mkuu popote ulipo (Ontario) ujue ninahaja ya kuzungumza na wew naamini kipo kitu cha tofauti nitajifunza kutoka kwako nikueleze jinsi nilivyopambana kulima, kufuga, kupiga forex bila kufanikiwa naamini wew utakua na mbinu mmbadala wa haya yote.

Huyu jamaaa Kani influence vitu vingi hapa Jf since 2015 kwa mapambano yake dhidi ya umaskini na ukosefu wa ajira kwa vijana hapa nchini. Ukweli mm nakukubaligi Bure tuu coz wew.

Ni mpambanaji mmoja hatari sana na una moyo wa thati kabisa wa kuwashirikisha wadau fursa unazokutana nazo. Kipekee Nakushukuru na nikutie moyo una safari ndefu ya mafanikio katika maisha yako
 
Siamini kama umefanya jitihada ya kweli ya kuhitaji kuonana naye na ukashindwa.
 
Mkuu private sms si atakua nazo 1000000 huyu jamaaa yangu ataiona lini? Singo
Kuna njia nyingi za kumpata, hata hiyo ya pm ukiifanya ya kitofauti na ukaamini ataisoma na atakujibu itakuwa hivyo .
 
Hey Boss ndeankar!!

Very unfortunately kwa sasa sipo Tanzania, nilitoka huko tarehe 28 kwenda Capetown ambapo nilialikwa kuzungumza kwenye conference fulani. Leo ndio nimeimgia Pretoria na nitakua hapa hadi tarehe 18.

Nitarudi Bongo for 2 days, inabidi tuonane in one of those days, coz trh 21 nasafiri tena nje kwa ajili ya matibabu. Hapo kurudi hadi tarehe 11 Jan. Kukutana na mimi unaeza kuja ofisini kwangu, Oysterbay, mataa ya St. Peters - Jangid Plaza. Unaeza kuwasiliana na secretary ili aweze kukuelekeza jinsi ya kufika 0754311568.
 
Kama umeshindwa kumtafuta kijana mjanja mjanja kama Ontario basi huwezi kutafuta pesa....
5cb6b1fefb210f8d44c50f49a6984235.jpg
 
Hey Boss ndeankar!!

Very unfortunately kwa sasa sipo Tanzania, nilitoka huko tarehe 28 kwenda Capetown ambapo nilialikwa kuzungumza kwenye conference fulani. Leo ndio nimeimgia Pretoria na nitakua hapa hadi tarehe 18.

Nitarudi Bongo for 2 days, inabidi tuonane in one of those days, coz trh 21 nasafiri tena nje kwa ajili ya matibabu. Hapo kurudi hadi tarehe 11 Jan. Kukutana na mimi unaeza kuja ofisini kwangu, Oysterbay, mataa ya St. Peters - Jangid Plaza. Unaeza kuwasiliana na secretary ili aweze kukuelekeza jinsi ya kufika 0754311568.
We utafanikiwa sana ndugu. Huna mbwembwe kabisa.
 
Hey Boss ndeankar!!

Very unfortunately kwa sasa sipo Tanzania, nilitoka huko tarehe 28 kwenda Capetown ambapo nilialikwa kuzungumza kwenye conference fulani. Leo ndio nimeimgia Pretoria na nitakua hapa hadi tarehe 18.

Nitarudi Bongo for 2 days, inabidi tuonane in one of those days, coz trh 21 nasafiri tena nje kwa ajili ya matibabu. Hapo kurudi hadi tarehe 11 Jan. Kukutana na mimi unaeza kuja ofisini kwangu, Oysterbay, mataa ya St. Peters - Jangid Plaza. Unaeza kuwasiliana na secretary ili aweze kukuelekeza jinsi ya kufika 0754311568.
Good
 
Aisee!! Hufanikiwi sababu hupiti njia zako unarukia yoyote ile, kila mtu na life path yake na jinsi atavyofanikiwa. Kaa utulie ufikirie kwa makini wewe ni nani na wito wako ni nini. Don't let gurus and philosophers lead your mind.
Good luck
 
Hey Boss ndeankar!!

Very unfortunately kwa sasa sipo Tanzania, nilitoka huko tarehe 28 kwenda Capetown ambapo nilialikwa kuzungumza kwenye conference fulani. Leo ndio nimeimgia Pretoria na nitakua hapa hadi tarehe 18.

Nitarudi Bongo for 2 days, inabidi tuonane in one of those days, coz trh 21 nasafiri tena nje kwa ajili ya matibabu. Hapo kurudi hadi tarehe 11 Jan. Kukutana na mimi unaeza kuja ofisini kwangu, Oysterbay, mataa ya St. Peters - Jangid Plaza. Unaeza kuwasiliana na secretary ili aweze kukuelekeza jinsi ya kufika 0754311568.
Asante mkuu nmefrai kwa response ulionionyesha na nita kuja ofisini soon utakaporudi dar
 
Aisee!! Hufanikiwi sababu hupiti njia zako unarukia yoyote ile, kila mtu na life path yake na jinsi atavyofanikiwa. Kaa utulie ufikirie kwa makini wewe ni nani na wito wako ni nini. Don't let gurus and philosophers lead your mind.
Good luck
Soma vizuri thread mwanzoni mkuu kuna tofauti kubwa Kati ya kufuata mkumbo na kua na ideas zinazofanana
 
  • Thanks
Reactions: Pep
achna nae....
nichek Mimi mambo yoote, yatakaa sawa.

almasi mchangani.
 
Back
Top Bottom