benwise
Member
- Oct 24, 2015
- 99
- 75
Salam wakuu.kuna ndugu yangu amehitimu chuo cha ualimu kwa level ya shule za msingi miaka mitatu iliyopita na sasa kwa zaidi ya miaka miwili anajitolea kwenye shule fulani huo mkoani.
Changamoto iliyopo tangu ajira zimetangazwa mara ya kwanza na hata sasa ameshindwa kuomba kutokana na changamoto ya vyeti.
Muda mfupi kabla hajamaliza chuo waliomba wanafunzi wote wapeleke vyeti original baada ya hapo walirudishiwa, but waliokuwa wanadaiwa ada pamoja na yeye hawajapewa vyeti vyao mpaka leo.
Najua humu kuna watu wajuzi zaidi kwenye kila jambo so nahitaji uzoefu na msaada ni namna gani anaweza kufanikiwa kuomba ajira serikalini maana licha ya kufaulu vizuri kule chuoni kuna deni la zaidi ya milioni moja na nusu na hali ya uchumi kwa sasa bado hairuhusu kulipa lile deni.
Naomba msaada wenu wadau wa namna gani atafanikiwa katika hili?
Changamoto iliyopo tangu ajira zimetangazwa mara ya kwanza na hata sasa ameshindwa kuomba kutokana na changamoto ya vyeti.
Muda mfupi kabla hajamaliza chuo waliomba wanafunzi wote wapeleke vyeti original baada ya hapo walirudishiwa, but waliokuwa wanadaiwa ada pamoja na yeye hawajapewa vyeti vyao mpaka leo.
Najua humu kuna watu wajuzi zaidi kwenye kila jambo so nahitaji uzoefu na msaada ni namna gani anaweza kufanikiwa kuomba ajira serikalini maana licha ya kufaulu vizuri kule chuoni kuna deni la zaidi ya milioni moja na nusu na hali ya uchumi kwa sasa bado hairuhusu kulipa lile deni.
Naomba msaada wenu wadau wa namna gani atafanikiwa katika hili?