Aisee...[emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ni ma domo zege
So unamaanisha na we pia unakuwa huna cha kunambia? seriously? wa hivyo unamsaidia tu kwa kuongoza conversation then taratibu mtafika, ni udhaifu tu hatupendi kuwa hivyo..heheHa haaa kama ndo upo hivyo usije. Tutaboana bure
Thanks in advance InnaSawa boss...uko vizr lakn?
Kila baada ya nusu saa anakutumia pm niambie..sasa nimwambie nini? Yeye si aniambie?So unamaanisha na we pia unakuwa huna cha kunambia? seriously? wa hivyo unamsaidia tu kwa kuongoza conversation then taratibu mtafika, ni udhaifu tu hatupendi kuwa hivyo..hehe
Hahahahaa..sijategemea.[emoji23] [emoji23] [emoji23] hao ni ma domo zege
Hujategemea nn au na ww uko hvyo nn?Hahahahaa..sijategemea.
Hehe..sa si anakuwa kakumis na we umemchunia.Kila baada ya nusu saa anakutumia pm niambie..sasa nimwambie nini? Yeye si aniambie?
Hapo unakuwa hujamchunia unamjibu vizuri tu..Hehe..sa si anakuwa kakumis na we umemchunia.
Mmnh..nt so sure ila u jst try me, who knows labda hutoregret wangu.Hujategemea nn au na ww uko hvyo nn?
Nambie,naomba yako bhas mkuuHa haaa kama ndo upo hivyo usije. Tutaboana bure
Hahaa umeanza na mistar apa apa jukwaani[emoji126] [emoji126] [emoji126]Mmnh..nt so sure ila u jst try me, who knows labda hutoregret wangu.
Ha haaaa toka huko...Nambie,naomba yako bhas mkuu
Vibaya hivyo wangu, basi nisamehe bure ka hujapenda kipenzi..teheHahaa umeanza na mistar apa apa jukwaani[emoji126] [emoji126] [emoji126]
Hahaha..mpeHa haaaa toka huko...
Hiyo namba akipewa ataendeleza nambie zake. Namba ni kwaajili ya money transactions tuuuHahaha..mpe
Ndo umpe akupe..itarahisisha hata ukiona muamala ujue ni yeye sababu atakuwa keshakupa na yake.Hiyo namba akipewa ataendeleza nambie zake. Namba ni kwaajili ya money transactions tuuu
Mtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
HahahahahahahahahahahahahaMtu anakuja pm...nambie, kila baada ya dk 5..nambie. Au analazimisha umpe namba hata kabla hamjajenga urafiki. So boring
Hahahahahahahahaha.Pulizia perfume kabla hujatuma kila la heri 😡
Vipi mkuu, Inna ulimwendea chumbani. Alikujibu?agata plz jibu pm zangu basi!!