Uwiiiiiii! Hapo sasa.Hiyo namba akipewa ataendeleza nambie zake. Namba ni kwaajili ya money transactions tuuu
Mi mwenyew nimekuaje tena InnaHamna bwana we mwenyew tu
UuwwiiiiPulizia perfume kabla hujatuma kila la heri 😡
Hivi swahiba huwa unajibiwaga au ndio huendagi kabisa huko PMNambie,naomba yako bhas mkuu
Ww ni mwanamke?
demi anajua,muite aje kunijibia [emoji1]Hivi swahiba huwa unajibiwaga au ndio huendagi kabisa huko PM
[emoji124] [emoji124] [emoji124]
Pm yangu nami naiona unairuka tu::We tuma mahela mkuu