Kichwa Ngumu
JF-Expert Member
- Nov 6, 2010
- 1,726
- 314
I thought that way, but familia zetu za kibongo hawakuelewi, they keep on insisting/asking when are you going marry
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish
Mkuu nitaishi hivi mpaka lini?
Hujachelewa, unatakiwa kumwandaa mwanake wa kum-oa, nina uhakika unamchumba, wewe ndio unajua umekuwa nae kwa muda gani? na kwa muda huo umegundua nini kutoka kwake, ingawa kabla ya kuoa mabinti huwa huficha tabia zao mbaya.
experience the behaviour of your partner b4 married, some times unaweza kumuudhi kwa makusudi ili uone anareact vipi? ukizingatia ni rahisi kujua tabia ya mtu pale akiwa na hasira ya kuudhiwa au mkikorofishana au akiwa na uharaka wa jambo fulani.
Mi nimeoa naenjoy full
Wakuu: habari ya wked? Kuna hili linanisumbua. Inaonyesha ndoa nyingi zinaingiliwa (kunakuwa na cheating) na ma house boy/shamba boy, house girl, marafiki, majirani, wauza urembo, mapedejee na wengine wengi.
Hii inanitisha sana, Naombeni ushauri nifanyeje kabla ya kuoa? Ili nitakapooa nipunguze au kuondokana na karaha hii
Nawakilish