Nifanyeje kabla ya kuoa ?

Muombe mungu akupe mwenza mwema!
 
Acha woga mkuu.....tafuta mchumba....then oa........
after all, marriage ain't a paradise.......
 

Nashukuru mkuu,
 

Kabla ya kuoa amini kuwa ukioa sio lazima mkeo awe wako peke yako...
 
Acha woga mkuu.....tafuta mchumba....then oa........
after all, marriage ain't a paradise.......

Ndio mkuu kwasasa nipo katika harakati za kutafuta, mtarajiwa, but i wanted to know what precautions (if any) i should take before marriage?
 
Be yourself; everyone else is already taken
 
Huna haja ya kusema ndoa nyingi zina cheating,kwann ndoa yako isiwe moja kati ya ambazo hazicheat?IT BEGINS WITH YOU,REMEMBER?
Pearl hebu nifafanulie kdg!
 

Elia just be yourself, when you feel like your are ready to get married just do it ukianza kuuliza watu mshikaji wangu kila mtu atakupa experience yake and the end of the day utaishia kutokuoa kwa kuogopa yale watu waliokwambia just know that marriage differs kila mtu ana experience yake mwisho wa siku you are the one to decide what's good and bad for you
 
Siyo wote wenye tabia za ku-cheat hivyo jitahidi kutafuta mtu asiye cheat. na hawa ni wengi tu.
 
Huna haja ya kusema ndoa nyingi zina cheating,kwann ndoa yako isiwe moja kati ya ambazo hazicheat?IT BEGINS WITH YOU,REMEMBER?

The Following 2 Users Say Thank You to Pearl For This Useful Post:

Elia (Today), The Finest (Today)​
 
kaka umenifurahisha sana na swali lako..mie mwenyewe napigiwa kelele mpaka basi kwa hiyo usifikilie huko peke yako..mbaya zaidi ni pale unapooa na kumwacha demu wako bongo nawe kwenda ng'ambo kutafuta maisha au kufanya kazi mikoa tofauti..sasa hapo unakuwa kama umewaolea wengine...
Majibu ni magumu sana..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…