Elia just be yourself, when you feel like your are ready to get married just do it ukianza kuuliza watu mshikaji wangu kila mtu atakupa experience yake and the end of the day utaishia kutokuoa kwa kuogopa yale watu waliokwambia just know that marriage differs kila mtu ana experience yake mwisho wa siku you are the one to decide what's good and bad for you
kaka umenifurahisha sana na swali lako..mie mwenyewe napigiwa kelele mpaka basi kwa hiyo usifikilie huko peke yako..mbaya zaidi ni pale unapooa na kumwacha demu wako bongo nawe kwenda ng'ambo kutafuta maisha au kufanya kazi mikoa tofauti..sasa hapo unakuwa kama umewaolea wengine...
Majibu ni magumu sana..
ooh kumbe ushawahiwa eeeeh?
Ndio mkuu kwasasa nipo katika harakati za kutafuta, mtarajiwa, but i wanted to know what precautions (if any) i should take before marriage?
Nakubariana na wewe, ninaambiwa watu tunao safiri mara kwa mara dio tunaibiwa sana. Ahsante sana
ezan, hope i will get one. But where to get them??
ezan, hope i will get one. But where to get them??
they will come trust me no need to hurry there are so many out there who are searching for people like you
Niliishawahiwa na mtu mmoja wa Morogoro oopppsss karudi jana bana kumbe yupo hapa hapa
Popote mkuu, ila isiwe amekeketwa....!
wat!kumbe uko booked tayari?poor me:shock::shock::disapointed:
kaka na mie nawatafuta hao.....wapo kweli?
wat!kumbe uko booked tayari?poor me:shock::shock::disapointed:
wapo kaka kuna nilham, michelle lol!!!!
ah ah ah sasa utajuaje?utatia mkono upapase?ah ah ah
Wapo kaka kuna NILHAM, MICHELLE lol!!!!
hawa wakusadikika sana tatizo!