Habarini za mchana wana JF, wajuzi katika jukwaa la JF Doctor.
Nimekuwa muathirika na huu mfumo wa hewa ya kutengenezwa....
Nilikuwa na weusi ambao kwa namna moja nilijivunia pamoja na kuwavutia warembo.
Nowdays nimekuwa na weupe kama mtoto wa Mama au wale wavulana wanaohisiwa ama kutambulika kama watoto si riziki.
Air condition imenifanya nimekuwa mlaini (soft) kama mtu ambaye sikupitia mafunzo ya Jeshi...!!
Naombeni ushauri, nifanyeje kuiepuka hali ama mabadiriko haya..