laticka
JF-Expert Member
- Jul 18, 2011
- 344
- 130
Wadau salam,
Ninafuga kuku wa kienyeji, nimewalisha vizuri na wametaga kwa muda sasa. Kila walipotaga niliondoa mayai. Nilisafiri wakawa wanaokota mayai vijana, niliporudi nilikuta kuku 49 wanalalia mayai hewa na hawataki KUTAGA tena. Mi natamani waendelee kutaga, nifanyeje?
Ninafuga kuku wa kienyeji, nimewalisha vizuri na wametaga kwa muda sasa. Kila walipotaga niliondoa mayai. Nilisafiri wakawa wanaokota mayai vijana, niliporudi nilikuta kuku 49 wanalalia mayai hewa na hawataki KUTAGA tena. Mi natamani waendelee kutaga, nifanyeje?