kiasilia kuku wa kienyeji akitaga baada ya muda fulani lazima alalie, tena kunawengine akitaka kisha ukaondoa mayai sehemu alipotagia, hata taga tena ndo maana huwa wanasema akitaga matatu ondoa acha moja, akija anaona hayatoshi kulalia anaongeza kisha unaondoa unaendelea hivyo hivyo.
ukitaka kuku kwa ajili ya mayai mengi tafuta kuku chotara, mchanganyiko wa kienyeji na kisasa, mimi nina mitetea kumi napata mayai kumi kila siku, tena mayai makubwa sana.