sinajinasasa
JF-Expert Member
- Dec 10, 2013
- 2,988
- 4,152
Habari JF!
Najua humu ndani kuna watu wana akili sana, hivyo kwa michango yenu najua nitatatuliwa huu mtego nilionao.
Mke wangu amejifungua salama mtoto wa kike hivi majuzi, mtoto ni mzuri na afya yake pia maana mtoto amezaliwa na kg 4.9, wote na mama yake wako vizuri.
Tatizo langu ni hizi kinga wanazopewa watoto, huwa sizipendi kwani naona zinaleta shida kwa mtoto. Bahati nzuri muda aliozaliwa ilikuwa ni usiku weekend, watoa chanjo hawakuwepo, wazalishaji walisema asitoke hospitali hadi apate chanjo ya kifua kikuu BCG, bahati nzuri akatoka bila kupewa hiyo chanjo.
Najiuliza hiyo chanjo ina msaada gani? Kwa vile mtoto ataishi kwenye mazingira salama, wazazi tuna kinga ya kutosha kupambana na TB, kwani mtoto yeye si anakinga yake anaponyonya, tena itaendelea kuongezeka?
Wasiwasi wangu ni madhara atakayopata mtoto baada ya hayo makinga, maana najua mtoto lazima apate homa joto kupanda, kukosa hamu ya kula.
Nataka nisimpe kabisa kinga mtoto, bali nimlee vizuri bila kum expose kwenye risk.
Tatizo mama yake pia hana misimamo kama yangu anaogopwa kusimangwa na watu wa clinic za watoto.
Nauliza, kwani sheria za nchi zinalazimisha kila mtoto anayezaliwa apate kinga hizo. Je nifanyeje ili kuepusha asipate hizo kinga?
Najua humu ndani kuna watu wana akili sana, hivyo kwa michango yenu najua nitatatuliwa huu mtego nilionao.
Mke wangu amejifungua salama mtoto wa kike hivi majuzi, mtoto ni mzuri na afya yake pia maana mtoto amezaliwa na kg 4.9, wote na mama yake wako vizuri.
Tatizo langu ni hizi kinga wanazopewa watoto, huwa sizipendi kwani naona zinaleta shida kwa mtoto. Bahati nzuri muda aliozaliwa ilikuwa ni usiku weekend, watoa chanjo hawakuwepo, wazalishaji walisema asitoke hospitali hadi apate chanjo ya kifua kikuu BCG, bahati nzuri akatoka bila kupewa hiyo chanjo.
Najiuliza hiyo chanjo ina msaada gani? Kwa vile mtoto ataishi kwenye mazingira salama, wazazi tuna kinga ya kutosha kupambana na TB, kwani mtoto yeye si anakinga yake anaponyonya, tena itaendelea kuongezeka?
Wasiwasi wangu ni madhara atakayopata mtoto baada ya hayo makinga, maana najua mtoto lazima apate homa joto kupanda, kukosa hamu ya kula.
Nataka nisimpe kabisa kinga mtoto, bali nimlee vizuri bila kum expose kwenye risk.
Tatizo mama yake pia hana misimamo kama yangu anaogopwa kusimangwa na watu wa clinic za watoto.
Nauliza, kwani sheria za nchi zinalazimisha kila mtoto anayezaliwa apate kinga hizo. Je nifanyeje ili kuepusha asipate hizo kinga?