Behaviourist
JF-Expert Member
- Apr 8, 2016
- 39,926
- 95,626
Hutakiwi kuamini kuhusu AIDS bali unatakiwa ujue AIDS ipo au haipo kupitia udhibitisho wa kisayansi!Tusihamishie mada kwenye aids....kila mtu aamini vile anavyoamini. We hunijui usitake niamini unachokiamini
Can science prove everything? Hahha! Science itself fails to tell the genuine origin of a man.Hutakiwi kuamini kuhusu AIDS bali unatakiwa ujue AIDS ipo au haipo kupitia udhibitisho wa kisayansi!
Science can't prove everything but at least we must proud of what we have up to now!!!......Jaribu kufikiri juu ya simu/computer uliyotumia kuniandikia ujumbe huu,jaribu kufikiri juu ya magari,pikipiki,baiskeli,ndege,meli,radar,rocket,madawa ya kututibu e.t.c yote haya ni mazao ya science!!.....Kama siyo sayansi leo hii tungekuwa wapi?tungekuwa mgeni wa nani???Can science prove everything? Hahha! Science itself fails to tell the genuine origin of a man.
na kuna vtu vingi vmefichwa kwa mlango wa science.
hayo madawa yamefanywa utafiti lin?Dawa ni dawa mbona madawa ya asili kama aloe vera na mlonge huwezi kuta zimeacha kutibu kwa sababu ya vijidudu kubadilika tabia na uwezo wa kushambulia mwili...