Nifanyeje kupunguza unene wa uume wangu ili mwenza wangu asiumie wakati wa tendo?

Matindi94

Member
Joined
Oct 12, 2016
Posts
47
Reaction score
50
Poleni na majukumu wanajamvi, msaada wenu wa taalamu.

Nifanyeje nimridhishe mchumba wangu wakati wa tendo? Maana analalamika uume wangu mnene sana, namuumiza. Msaada, nitumie mbinu gani ili asiumie?

Nasubiri majibu.
 
pole sana kwa familia ya matindi94 sasa mlete mama matindi94 mwenyewe msikia maumivu tumfundishe kitu naimani kunasehemu anakosea, kinapita kichwa cha mtoto bonge nini uume
 
Poleni na majukumu wanajamvi, msaada wenu wa taalamu.

Nifanyeje nimridhishe mchumba wangu wakati wa tendo? Maana analalamika uume wangu mnene sana, namuumiza. Msaada, nitumie mbinu gani ili asiumie?

Nasubiri majibu.
Imeandikwa,tushukuru kwa kila jambo.Kuna wenzako wana vibamia.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…