Ruhazwe JR
JF-Expert Member
- Jan 31, 2011
- 3,402
- 925
- Thread starter
-
- #41
Siku zote mtafutaji hupata na in this world the sky is the only limit to your dreams,and you can always be what you want to be,and one thing never give up and always pray if its Gods will you wil be regardless of the obstacles,
mkuu kumbe unaweza ukamaliza civil then ukaaenda kufanya CPA?do nakuonea wivu mkuu...nami niombee nifike huko
teh teh teh.......mkuu senetor bwana nini!...apana si kwamba natamani kila kitu nashangaa tu.uwezi kuniambia kitu juu ya civil bwana we acha tuwe nae una tamaa,sa unataka kusoma kila kitu unachokisikia?malza hlo la uhandisi kwanza.
teh teh teh.......mkuu senetor bwana nini!...apana si kwamba natamani kila kitu nashangaa tu.uwezi kuniambia kitu juu ya civil bwana we acha tu
we unanishauri vip
Imekukuna lakini ni kweli kwamba CPA sio ngumu kiivyo, tatizo la wengiwenu mnaisoma wakati Maths. ni mamamkwe nilimaliza engineering miaka ya tisini na nikaipiga CPA kama nalia na ilikua cheap ki noma!!! ukikitaka isikusumbue kua mzuri kwenye maths. especially logic
Ucimdanganye mwenzio anataka kuwa engineer(mhandisi) sio technician (fundi) hakuna any equivalent qualification from VETA uingie direct to degree. Ukitaka kasome diploma kwenye technical college ie Chuo cha Maji or DIT then ufaulu vizuri ndo unaweza pata entry to Universitiesnenda veta soma building system mpaka grade three ukitoka hapo nenda dit ukimaliza pale upo nondo kupita mtu wa udsm.....kuhusu kurudia mitihani achana nalo....utapoteza muda wako buleee
teh! asa una unauliza hesabu kwa CtV. Hapa Math ndo home, mpaka Wahandisi wananitafta. Niwasaidie kukokotoa.
mkuu kumbe unaweza ukamaliza civil then ukaaenda kufanya CPA?do nakuonea wivu mkuu...nami niombee nifike huko
Ndio dogo na sio tu CPA,waweza piga LAWS na mazagazaga kibao!!!alafu bana raha yake ukifikia kuitwa hivi kama mimi Eng. Fighter na kamuhuli unako du!!! sa hivi twajisomea vitu vingi kwa interest tu!!!! kwani naupenda uhandisi noma!!!