moshi jr 01
Member
- Mar 19, 2024
- 6
- 5
Nataka nijenge sasa nimechimba msingi lakini umejaa maji. Nitumie njia gani ili nijenge msingi na usipate madhara.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
greater than anajua. Njoo umsadie huyu kama una nafasi. Ameandika makala nyingi kuhusu hilo. Search utazipataNataka nijenge sasa nimechimba msingi lakini umejaa maji. Nitumie njia gani ili nijenge msingi na usipate madhara.
Elezea vizuri ili upate msaada...Nataka nijenge sasa nimechimba msingi lakini umejaa maji. Nitumie njia gani ili nijenge msingi na usipate madhara.
Ni maji ya mvuaMaji yaliyojaa yanatokea wapi, mvua? au ardhi inatema maji?
1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.1.unaweza raja Asili ya aina udongo kwenye eneo lako, na rangi yake
2.Je,hilo eneo latuwamisha maji ?
3.Kuna chanzo chochote cha maji karibu na eneo lako mf. Kisima
4.Je,Nyumba za jirani ,kuna yoyote iliyo onesha dalili ya kutitia.
5.Je,eneo hilo ni njia ya maji kipindi cha mvua.
6.Mvua ikinyesha maji huckua mda gani kukauka...
Tafadhali jibu hayo maswali....?
ndiooMaji yaliyojaa yanatokea wapi, mvua? au ardhi inatema maji?
Mvua ikinyesha maji yana tuamandioo
SawaMafundi wanakuja kukupa miongozo.
TULIA HAPOHAPO!
KaziKweliKweli/JobTrueTrue
Unatakiwa siku wanachimba msingi, uko tayari na zege na matofaliNi maji ya mvua
Kw majib haya hili eneo lako ili ujenge vizur unatakiw uwe na Mfuko WA kutosha na pia Fundi awe mzur na sio haw wakin Fundi maiko1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.
2.ndio maji yamatuama
3.amna chanzo cha maji
4.ndio nyumba zipo zilizo titia
5.ndio ni njia ya maji ya mvua
6.yani ikinyesha mvua kubwa alafu ikakata . Na jua likawaka kali inachukua siku nne hadi tano kukauka kabisa
A.1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.
2.ndio maji yamatuama
3.amna chanzo cha maji
4.ndio nyumba zipo zilizo titia
5.ndio ni njia ya maji ya mvua
6.yani ikinyesha mvua kubwa alafu ikakata . Na jua likawaka kali inachukua siku nne hadi tano kukauka kabisa
Njia ya kwanza ya Ufumbuzi ambayo ni nyepesi na inatatua hizo changamoto kwa wepesi.1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.
2.ndio maji yamatuama
3.amna chanzo cha maji
4.ndio nyumba zipo zilizo titia
5.ndio ni njia ya maji ya mvua
6.yani ikinyesha mvua kubwa alafu ikakata . Na jua likawaka kali inachukua siku nne hadi tano kukauka kabisa
Kuhusu Maji kwenye Msingi...1.udongo ni tifutifu alafu ni mweusi.
2.ndio maji yamatuama
3.amna chanzo cha maji
4.ndio nyumba zipo zilizo titia
5.ndio ni njia ya maji ya mvua
6.yani ikinyesha mvua kubwa alafu ikakata . Na jua likawaka kali inachukua siku nne hadi tano kukauka kabisa