Hujui kua hata huku kuna madaktari bingwa ambao wanaweza kumshauri vizuri sana na akazingatia akapata nafuuHivi, unaacha madakatari bingwa wa MAGONJWA UNAKUJA KUULIZA JF..!!?
Ebu nenda hosp. upate ushauri mzuri huku umekosea, watu wengine bana..
Pole kwa kuuguza, nipo DSM nitafute 0688462006Wana JF!!
Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.
Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.
Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.
Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?
CC: Kaveli, Deception
Tapeli wa kimataifa wwMkuu pole sana kwa hayo yaliyo mkuta kaka nione mimi nipate kumuachisha hiyo sumu ya dawa za ARV anazo tumia nita mtibia kw amuda wa miezi 8 n atapona na kurudi hali yake kama ya zamani na hiyo HIV+ itamuondokea kabisa. Ukihitaji matibabu toka kwangu Unaweza kunitafuta kwa Mawasiliano Dr. MziziMkavu Email barua ya pepe. fewgoodman@hotmail.com What's App na Viber +905344508169
Mpatieni Trévo, wasiliana namimi 0688462006. Imewasaidia wengi wenye changamoto kama hiyoWana JF!!
Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.
Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.
Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.
Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?
CC: Kaveli, Deception
yesu anaponya ukimwi! ukitaka kupona mwite atakuja!Wana JF!!
Samahani sana, naomba msaada wenu, najua mpo wengi wenye uelewa wa mambo.
Sasa naomba kuelimishwa, pia kwa faida ya wengine wenye matatizo kama yangu.
Nipo hapa kwa niaba ya kaka yangu ambaye alipima na kuonekana ana '' HIV" mwaka 2011 mara moja wakamuanzishia matibabu ya ARV. Hakuwa na shida nyingine, zaidi ya kuwa na constipation..hakuwa anakula vizuri baada ya kufilisika duka lake, akawa anafanya kazi ngumu bila kula vizuri zaidi ya chapati tena zilizokobolewa unga. Kutokana na kudhoofika afya nilimpeleka hospitali na alipopima HIV alionekana HIV+ , lakini cha ajabu mke wake ni HIV- ni muda mrefu sasa.
Sasa huyu kaka yangu pamoja na kuwa anakunywa hizo dawa, naona sasa zinamdhuru hasa ngozi yake inakuwa na spots, ambapo juzi tu wakampa madawa ya TB wakati hana hiyo TB, dawa zikamdhuru hadi mdomo unababuka ngozi. Bado anaendelea na kazi yake ya kilimo cha bustani na pia boda boda, physically hayupo vibaya sana.
Kutokana na elimu niliyoipata humu hasa ile thread ya V.V.U na Upimaji wake, nimegundua huyu bro hana ngoma, ila labda ni lishe bora tu na life style mbovu.
Kwa vile ameshakuwa mhanga wa ARV nifanyeje ili nimuachishe dawa hizo bila kumletea madhara, aweze kurudia hali yake ya kawaida. Naogopa nisije kumshawishi aache akaanza kuumwa nikalaumiwa mimi.
Naomba ushauri kama akiacha ARV atumie nini, ambacho kitamfanya awe Normal?
CC: Kaveli, Deception
Mkuu unga wa mlonge tetere au majani au magome?fafanua vema tuanze na ndugu zetuMkuu mpatie unga wa mlonge atarudia afya yake upesi na kinga yake itakuwa juusku zote...NI PM kama huwezi kuupata
Mkuu Hakuna Maradhi aliyo yaumba Mungu yasiwepo na Dawa yake.Kila Maradhi hayakosi kuwa na Dawa yake mimi ninatibu Maradhi ya Ukosefu wa kinga za mwili aka Ukimwi na utapona kabisa. Amini au usiniamini kazi kwako.Walokole wengi nao wanajidai wanatibu.. ila ni uongo mkubwa..
Ww pia wasema unatibu, ila gharama zake ni kubwaaa, nikuulize KUNA GHARAMA KUBWA KULIKO UHAI WA MTU..? usiseme uongo jamani, UKIMWI hauna dawa, full stop..!!
Unga wa majani ya mlonge mkuuMkuu unga wa mlonge tetere au majani au magome?fafanua vema tuanze na ndugu zetu
mkuu tuambie matumizi yake na jinsi ya kuyatengeneza kwa uboraUnga wa majani ya mlonge mkuu
mi hula majani yake kama mboga na nilikua na tatizo fulani likapotea bila kwenda hospitaliUnga wa majani ya mlonge mkuu
Chuma majani ya mlonge,anika KIVULINI hadi yakauke kisha twanga kupata unga wake.mkuu tuambie matumizi yake na jinsi ya kuyatengeneza kwa ubora
Doct tupe ushaidi wa waginjwa walioponaM
Mkuu Hakuna Maradhi aliyo yaumba Mungu yasiwepo na Dawa yake.Kila Maradhi hayakosi kuwa na Dawa yake mimi ninatibu Maradhi ya Ukosefu wa kinga za mwili aka Ukimwi na utapona kabisa. Amini au usiniamini kazi kwako.
Kumbe watu wameadvance kiasi hiki,wanatengeneza hadi HIV?Kuna H.I.V za kutengeneza kishirikina, hizi ndizo zile watu wanazoponywa makanisani.
Hembu chukua hatua sasa.
Kama ni kweli mkuu! Hatari kubwa hii....Hapo hakuna mgonjwa wala nini ni deception na kundi lake wanatafuta vichwa vya kupigia hela mwaka mpya na mwakani. Hili ni tangazo la biashara kutafuta wagonjwa walio desparate. Huyu deception atawapata sana
Ushaur wako?Achen jaman watu waelimike ARV zinauwa watu weng KWA kuumwa figo labda walete mambo menne
Mboga yake tamu sana pia ukichanganya na karangami hula majani yake kama mboga na nilikua na tatizo fulani likapotea bila kwenda hospitali