WEWE unataka kujua GPA nzuri zinavyopatika ya kwanza hadi ya mwisho itakusaidia nini hasa? Lecturer ndio anatakiwa kujua hilo ili aweze kuwazawadia wanafunzi kutokana na performance zao. Wewe komaa na kitabu basi. Labda kwakukusaidia au ushauri ni kwamba Assignment usipende kucopy za wengine, hakikisha class unahudhuria, tengeneza group discussion, kabla ya discussion hakikisha ulisha jisomea ili ukachangie sio kuitikia tu, hakikisha ulichofundishwa kwa siku una review na weekend unafanya general review, soma reference mbalimbali, usipende kutumia supporting docs kwenye mtihani, wapende walimu, wapende wanafunzi wenzio, kwa ushauri huo usipo fanya vizuri utakuwa KILAZA, namaliza kwakusema AKILI YA KUPEWA CHANGANYA NA YAKO.