Najuta Kukufahamu
Member
- Feb 29, 2012
- 54
- 17
you are finished!
Kiuno chako kimekakamaa ukitembea?
Lips unapaka lip gloss?
Ndevu unazibust na wanja?
Nyusi umepalilia?
Una mapozi ya kineyo neyo?
Hapa patatoa mwangaza kidogo.
dah kweli kwenye miti hakuna wajenzikuwa handsome kweli shida.napata shida sana na hata wakati mwingine siaminiki tena.jamani nisaidieni niwaelezeje hawa wadada kuwa mie sitaki labda urafiki wakawaida tuuu.natamani hata nijipake majivu ili kuificha sura yangu.i sometimes find some of them forcing to take my photo.
Jamani naombeni ushauri wenu
Vipi wanaokushobokea ni wadada peke yao au hata na wakaka?
pole sana kwa balehe inayokusumbua,naamini ukishavunja ungo utaacha kuandika v2 kama hivi hapa jf.
sifanyi na pengine sina chochote kati ya hivyo..am not a model by the way am very gentleman but very cooll
kijana hebu jibu swali hili!ukijiangalia sura na umbo lako umefanana na mama yako au baba yako?kama umefanana na mama yako dont call yourself handsome,ur just beautiful boy!