Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?Unamatatizo kweli kweli.
Yaani unalalamika sababu we mzuri badala ya kushukuru.
Pili hata uwe na sura chachu watu hawawezi kukwambia LIVE una sura mbaya.
Bali watakusifu tu . (kwa hiyo usijisikie saaaana mtu akikwambia "Kaka we ni mzuri")
Tatu punguza muda wako unaoutumia kwenye kioo. hiyo itakusaidia.
kuwa handsome kweli shida.napata shida sana na hata wakati mwingine siaminiki tena.Jamani nisaidieni niwaelezeje hawa wadada kuwa mie sitaki labda urafiki wakawaida tuuu.Natamani hata nijipake majivu ili kuificha sura yangu.I sometimes find some of them forcing to take my photo.
Jamani naombeni ushauri wenu
sifanyi na pengine sina chochote kati ya hivyo..am not a model by the way am very gentleman but very cooll
Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?
Haya mwamkie babu.
hapo kwenye red, jaribu MAVI uone wonders..!!!kuwa handsome kweli shida.napata shida sana na hata wakati mwingine siaminiki tena.Jamani nisaidieni niwaelezeje hawa wadada kuwa mie sitaki labda urafiki wakawaida tuuu.Natamani hata nijipake majivu ili kuificha sura yangu.I sometimes find some of them forcing to take my photo.
Jamani naombeni ushauri wenu
Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?
Haya mwamkie babu.
Ili wasikupende pendelea wasichokitaka kama kushikishwa uku..ta.Hapo mbona utakuwa nao mbali tu.
Babu Shikamoo.
inatisha kwa kweli lohhh kesho atarudi hapa aseme "I think my ass is big"