Nifanyeje nipunguze kupedwa?

Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?

Haya mwamkie babu.
 

Uwe unajinyea na kujikojolea watajichenyewe
 
Panda bodaboda then mwambie aendeshe mwendokasi wa juu sana, then hawatakufuata tena ok ok....
 
vere oviazi

hiki kizazi sijui kama kitapona
afu kama matangazo hivi
kama 'mniPM jamani'

Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?

Haya mwamkie babu.
 
Emu emu yuu siku hizi,
Bora wakati ule nilipojiunga!
Narudi zangu chit chat maana!!
 
hapo kwenye red, jaribu MAVI uone wonders..!!!
 
Next time mwanamke akikwambia anakupenda just tell her kua wewe ndio ulipost huu u.ji.nga
Contrast kati ya uzuri wa sura na kiwango cha akili itamkatisha tamaa instantly, you will be free.
Hahahahaaha
 
Ili wasikupende pendelea wasichokitaka kama kushikishwa uku..ta.Hapo mbona utakuwa nao mbali tu.
 
jamani kuna handsome fulani "anapedwa" sana na mamende huku uswahilini kwetu. Usije ukawa ndiyo wewe. Acha mchezo huo.
 
Heheheheh.... Na ukiona jinsia ya kiume inakaa sana kwenye kioo.... halafu eti inajisifia yenyewe ni "mzuri" ujue kuna tatizo flani la kijinsia.... Ushalijua Wonder Woman wangu?

Haya mwamkie babu.

Babu Shikamoo.

inatisha kwa kweli lohhh kesho atarudi hapa aseme "I think my ass is big"
 
hapendwi mtu hapo........kama huamini jiachie kidogo tu kwa mmoja .....watu wa namna hii huwa hawana uwezo wa kuactivate mahusiano maana wanishia kujiona wao ni hb......tokaaaaaaa
 
tuekee picha yako tuone kama kweli wewe ni "mrembo" kama unavyosema:eyebrows:
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…