Ni cryptocurrency sawa.. ila wamekutumia coin/au stableMTANZANIA MWENZENU YAMENIKUTA...
Kuna likampuni la marekani lilinidanganya niwekeze. Halafu faida inayopatikana litanitumia asilimia kumi ya faida. Kweli faida limenirushia
lakini kwa njia ya sarafu za digital. (Cryptocurrency).
Nimepata $2,332. Nifanyeje ili niweze kuibadili iwe Fedha. Kama Kuna mtaalamu yeyote humu anisaidie. Au Kama Kuna mtu yeyote aliyewahi kukumbana na changamoto hii atusaidie na sisi.
Cryptocurrency gani umetumiwa. Ni sawa na kusema mtu kasaga unga na husemi unga wa ngano, mahindi au mtama.MTANZANIA MWENZENU YAMENIKUTA...
Kuna likampuni la marekani lilinidanganya niwekeze. Halafu faida inayopatikana litanitumia asilimia kumi ya faida. Kweli faida limenirushia
lakini kwa njia ya sarafu za digital. (Cryptocurrency).
Nimepata $2,332. Nifanyeje ili niweze kuibadili iwe Fedha. Kama Kuna mtaalamu yeyote humu anisaidie. Au Kama Kuna mtu yeyote aliyewahi kukumbana na changamoto hii atusaidie na sisi.
Mkuu nahisi ni stable. Ila Kuna kisanduku Cha withdraw. Ambalo unaweza kubadili na kuwa BitcoinNi cryptocurrency sawa.. ila wamekutumia coin/au stable
So kapigwa?[emoji1787]Hii imeenda
Uliwekeza sehemu huwezi withdraw?Sijajua vizuri ni cryptocurrency ya aina gani. Ila nahisi ni stable
Ni coin gani?MTANZANIA MWENZENU YAMENIKUTA...
Kuna likampuni la marekani lilinidanganya niwekeze. Halafu faida inayopatikana litanitumia asilimia kumi ya faida. Kweli faida limenirushia
lakini kwa njia ya sarafu za digital. (Cryptocurrency).
Nimepata $2,332. Nifanyeje ili niweze kuibadili iwe Fedha. Kama Kuna mtaalamu yeyote humu anisaidie. Au Kama Kuna mtu yeyote aliyewahi kukumbana na changamoto hii atusaidie na sisi.
StableNi coin gani?
Ku withdraw. Sehem ipo. Ila ambacho sijui ni kuibadili na kuwa fedha ya Tanzania. Wewe Kama unaweza. Kuibadili. Njoo what's up+255626967007Uliwekeza sehemu huwezi withdraw?
Ukiweza withdraw in any way. Niambie, nikupe cash.
Hii saiti ni ya kweli. Kinachonishinda ni namna ya kuibadili kuwa TshNi mtandao gani,
Kuna baadhi ya mitandao ni feki tu unaiona dola kwenye screen, haiwezi kutoka kama ule mtandao wa buz
Naweza ku withdraw. Kama kweli upo serious njoo whatup+255626967007Uliwekeza sehemu huwezi withdraw?
Ukiweza withdraw in any way. Niambie, nikupe cash.