Heeheee[emoji848]Jirani yangu alikuwa mchangamfu sana kabla sijahamia na vitu alinihifadhia yeye na vingine naazima vya ujenzi, tena akisisitiza 'hamia hivyohivyo jirani mbona poa tu?' Nimehamia kawa kauzu na ikitokea tumekutana kwa bahati ananiwekea ukuta kwa kila niliyeanza kuzoeana naye, mara huyu mnafiki huyu mbaya nk nk. I'm baffled.
Hii pia ni mbaya mtoto akipata food poison sehemu nyingine akafa jumba bovu linamuangukia huyoKuna jamaa mmoja nadhani ni mgeni kwenye eneo hili, yeye amejijengea utaratibu wa kugawa pipi kwa watoto wa mtaa mzima. Mwaka unaende kukatika sasa lakini amekuwa maarufu kwa watoto wa mtaani na hata mitaa mingine ya jirani. Kwenye begi lake anatembea na fuko la pipi akiwagawia watoto kila anapowaona.... Ukisikia Babuu!.. Babuu!... ujue tu anafanya shughuli yake ya kukusanya watoto kama mpiga filimbi wa Hamelin.
Mtoto wa city center hujui nyuki au inzi[emoji16]Nilikuwa sijaelewa [emoji23][emoji23][emoji23] thankyu
Namshukuru Mungu aseeUna raha kukaa mtaa mmoja na ndugu zako
Sawa tunawahitaji sana watu lkn inabidi uwe makini sanaHahahah ndio si kutafuta kuonekana jirani mwema tu[emoji28] ! Mie siwezi ila nawashauri wanaoweza tu wafanye hivyo maana dah! Mie naweza kukaa ndani hata siku 2 bila kutoa unyayo nje as long as huduma zote nazipata frijini, jikoni na chooni[emoji28] kukaa vijiweni ni very rare case labda nikakae mbali sana na home! Na ndio maana JF is my first kijiwe
[emoji16][emoji16][emoji16] kumbe mzee wa uteleziUmemmaindi sana dah,,, sema ndio hivyo mie mwenyewe nahisi kuna watu watakuwa wanahisi ninaringa ila mie sina habari! Sifa nilionayo tu kitaa wanajua mie sio kicheche [emoji28][emoji28][emoji28] na kijana mpole sana
Watangazie kuna kiti moto bure.Tangu nimehamia hapa mtaani ni takribani mwaka sasa umekatika. Mtaa ninaoishi ni nje kidogo ya mji ambapo watu wamejenga nyumba zao wamezungusha fensi na mageti. Pia wengi (pamoja na mimi) ni wafanyakazi ambapo mara nyingi ni watu wa kutoka asubuhi na kirudi jioni wakiwa ndani ya magari yao.
Sasa leo nimekaa nikatafakari, nikagundua kuwa zaidi ya majirani niliopakana nao upande wa kushoto na kulia, hakuna jirani mwingine ambaye walau hata namjua kwa jina. Hakuna mawasiliano ya aina yoyote kati yangu na majirani zangu, hakuna tukio lolote linalotukutanisha, na hata ikitokea mtu akapata tatizo, sidhani kama kuna mtu atajitokeza kusaidia.
Mimi naona kama hii hali sio nzuri ila nashindwa kujua nifanyeje ili kujenga ujirani mwema, hasa kwa hawa majirani wa mbali kidogo nyumba ya tatu ya nne huko?
Atapewa kesi ya ubakaji soonKuna jamaa mmoja nadhani ni mgeni kwenye eneo hili, yeye amejijengea utaratibu wa kugawa pipi kwa watoto wa mtaa mzima. Mwaka unaende kukatika sasa lakini amekuwa maarufu kwa watoto wa mtaani na hata mitaa mingine ya jirani. Kwenye begi lake anatembea na fuko la pipi akiwagawia watoto kila anapowaona.... Ukisikia Babuu!.. Babuu!... ujue tu anafanya shughuli yake ya kukusanya watoto kama mpiga filimbi wa Hamelin.
Unajitenga kwasababu ni mchawi... Mtanzania halisi hawezi jitenga.. Wachawi tuu ndio wanajitenga
Mbaya sana majambazi wakikuingilia?[emoji848]
Tumeumbwa hivyo wenye kujitambua huikata hiyo khali.... Ukiwa na hela simply unafeel safe kwamba hakuna msaada wowote utahitaji kutka kwa mtu na ndio dunia inavyotuaminisha kila siku lakini ni La hasha !!!.Hivi ni kwa nini
tena aanze kukopeshaFungua duka
Hakuna sehhemu nimesema sisalimii majirani. Hakuna sehemu nimesema najitenga na majirani.Huyo Mtume Muhammad unaemsema amehusia Sana watu waishi kwa wema na akazitaja had haki za jirani kwa jirani mwenzake
Kama husalimii majiran na unajitenga nao ww bado humfati Muhammad (S.A.W
Mwizi gani wakati kila siku wanakuchungulia kwenye balcony zao wanasubiri ulianzishe tu.[emoji16][emoji16]
Utakuja kuitiwa miluzi ya wizi we jipendekeze shauri yako
Tatizo wewe unajifunza uchawi kijana mdogoKuna tatizo?
Unafikiri kila mtu umelingana nae?Tatizo wewe unajifunza uchawi kijana mdogo