Nifanyeje


mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
 
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:

Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!
 
Reactions: BAK
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
khaaaa! :tape2:
 
Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!
ukishakumsalim dada michelle namimi naomba nikusalim halaf tunaomba mchango wako kuhusiana na kesi ya fanta face na ex wake.
 
mimi kidogo nina kazi nyingi,nachoka sana ila siku nikipata nafasi kama leo lazima nipite kuwasalimu marafiki na maadui zangu....kuna vituko gani tena JF? kunatisha nini niambie dearest......!!!:smash:
Pole kwa kazi dearest!Kweli hata maadui wanadeserve salamu!Lolz!Ah huku tena...kila siku watu wanakuja na mapya!
 
Mimi naomba tu nikusalimu dada Michelle...nimekumiss kwelikweli! Hope everthing is fine with you!

Nashukuru dada Keren,wajua navyopenda kuona hilo tabasamu la malaika kwenye hiyo avatar yako.....nimekumiss pia sana tu....everything is fine with me,nashukuru Mungu........i hope you are well tooo.....!!!
 
Pole kwa kazi dearest!Kweli hata maadui wanadeserve salamu!Lolz!Ah huku tena...kila siku watu wanakuja na mapya!

yetu macho kusoma na kushangaa hakuna lingine,ukitafakari sana utapasuka kichwa kwa story za ajabu kila kukicha.....:washing:
 
ukishakumsalim dada michelle namimi naomba nikusalim halaf tunaomba mchango wako kuhusiana na kesi ya fanta face na ex wake.

Heshima yako Klorokwin....hivi ile sherehe ya kushehekea siku yako imeisha??!! Maana nilikuwa huko nasubiri angalau soda...lakini wapi sijakuona mwenye sherehe...!!!
 
Nashukuru dada Keren,wajua navyopenda kuona hilo tabasamu la malaika kwenye hiyo avatar yako.....nimekumiss pia sana tu....everything is fine with me,nashukuru Mungu........i hope you are well tooo.....!!!

Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???
 
Muulize kwani Fanta Face uko peke yako ktk dunia hii?
 
Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???

siku ya Kloro ya kuzaliwa?mbona sijajua jamani kipenzi changu atanionaje?hiyo thread iko jukwaa gani?:smash:
 
Heshima yako Klorokwin....hivi ile sherehe ya kushehekea siku yako imeisha??!! Maana nilikuwa huko nasubiri angalau soda...lakini wapi sijakuona mwenye sherehe...!!!

Good to hear that my dear sister....I am doing fine thank God!

Leo ilikuwa siku ya Klorokwin...sijui umeiona sredi yake???
dah ! kumbe ile sredi bado ipo? mbona haionekani. soda lako nimekuwekea PM huku.

aisee turudini kwenye mada. fantaface ana hasira za kuchakachuliwa jina lake na ex wake asije akaturipoti abyuzi
 
dah ! kumbe ile sredi bado ipo? mbona haionekani. soda lako nimekuwekea PM huku.

aisee turudini kwenye mada. fantaface ana hasira za kuchakachuliwa jina lake na ex wake asije akaturipoti abyuzi

Point taken......:focus:
 
Huyo mwanamke akili ipo kweli?mwambie ajinuse kwanza.KUKU KUKU TU JOGOO JINA.
 
dah ! kumbe ile sredi bado ipo? mbona haionekani. soda lako nimekuwekea PM huku.

aisee turudini kwenye mada. fantaface ana hasira za kuchakachuliwa jina lake na ex wake asije akaturipoti abyuzi

Huyu mwanaume hanielewi kabisa niko njia panda
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…