Nifanyeje?


habari zinajichanganya hapa, hivi tatizo ni mpenzi wako au marketing?. lakini si kweli kutoka toka dinner , ndo kunakufanya uwe active marketer. ni vema hata wewe mwenyewe ujiangalie, kwani kama wewe ndo unauza ninatarajia wewe ndo utoe mualiko wa dinner, etc. au aliye mteja wako pia aweza kukukualika , lakini si suala la kukubali kila mualiko.

ukiachana na mchumba , zingatia pia maadili ya kazi yako. kwa mfano waweza kwenya mialiko ambayo baadae ndani ya kampuni yako wakakuona ulikwenda kushiriki kuhujumu kampuni yako. ki ujumla uwe mwangalifu, si tu kwakuwa mchumba anakaba penati la hasha, hata kwa kazi yako pia. nimeuza kwa miaka mingi nikiwa nafasi ya chini , hata juu. sikuwa na mialiko isiyo na malengo. na asilimia 80 ya mialiko yangu ilitengenezewa file note ( wa potential to business), na 20% ndo ilikuwa kujirusha. sijui kwako ikoje
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…