nifate taratibu gan nisitapeliwe??

brasy coco

JF-Expert Member
Joined
Apr 25, 2012
Posts
1,489
Reaction score
900
Wakuu nipo katika mchakato wa kununa nyumba maeneo ya hapa Dar nahitaji nyumba ya kisasa zaidi lakini naomba mnisaidie msaada wa kisheria, taratbu zipi nizifate ili nisije kutapeliwa na wajanja wa Mji naomba wale mnaojua sheria za ununuzi hasa wa nyumba mnipe Information ili nipite katika njia salama
 
tafuta makampuni ya nyumba yaliyosajiliwa
waweza wacheki pia NHC
KUNA MTU HUKU ANAITWA Kitomai
 
Last edited by a moderator:
Hawa NHC uwa wanasaidia nn mtu anapotaka kununua nyumba uwa wanato msaada wa kisheria au?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…