Hahahahahaaaaa JF pamegeuka studio ya mahaba, nimeipenda sana! ila kama mpenzi wako ndo yuleyule ujue leo ninae hapa! kanisomea mwenyewe hiki ulichoandika!!! ntamrudisha kesho jioni na kama huamini utaona atakuambia nilikua msibani yule beberu wetu alifariki! ukisikia hivyo tu utakumbuka maneno yangu!!!
ashante
Duuu hizi salamu ningezipata mimi? hakika kamoyo kangu kangeshtuka.....hongera zake na salamu zake zimfikie!
thanks love ..........................!
love you more............!
Jiandae kwa out ya kufa mtu leo jioni.............!
:love::love::clap2::clap2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Salamu zimefika sorry sijaziona kabla network ilikuwa inasumbua Its very sweet of you mpaka machozi yananilenga have a wonderful weekend too without you there is no air to breath i dedicate the song 'no air' by jordin sparks which sums up how i feel and how important you are to me,thanks again.:A S-rose::A S kiss:
thanks love ..........................!
love you more............!
Jiandae kwa out ya kufa mtu leo jioni.............!
:love::love::clap2::clap2::A S-rose::A S-rose::A S-rose:
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:
Rejea kwenye signature ya mtuma salamu.Hapa umekosa wa kukusaidia kugawa zawadi x-mas hii lol!
Salamu zimefika sorry sijaziona kabla network ilikuwa inasumbua Its very sweet of you mpaka machozi yananilenga have a wonderful weekend too without you there is no air to breath i dedicate the song 'no air' by jordin sparks which sums up how i feel and how important you are to me,thanks again.:A S-rose::A S kiss:
mweeeh,nime-freeze ghafla sasa niulize kwa furaha au majonzi:whoo:
Kaka be wewe ndo 'mchinjaji':hungry::hungry::hungry::hungry::hungry:
hiyo itakua PC ya kichina nini mkubwa...........?au credit ilikata.........!
Cheusie baby you know Im the only bigboy here who can take good care of you bila kusingizia network............!
btw,kuandikwa kwenye signature sio big deal........................!lol
ha ha haaaa,yaani nimecheka leo,nawewe uporoto umepata wa kukusaidia kuuza viazi pale sokomatola au mabatini,hehe lucky yu.
hiyo itakua PC ya kichina nini mkubwa...........?au credit ilikata.........!
Cheusie baby you know Im the only bigboy here who can take good care of you bila kusingizia network............!
btw,kuandikwa kwenye signature sio big deal........................!lol
ha ha haaaa,yaani nimecheka leo,nawewe uporoto umepata wa kukusaidia kuuza viazi pale sokomatola au mabatini,hehe lucky yu.
:hungry::hungry::hungry::hungry::hungry:
kwa kiingereza hicho cheo chako ndio senior toilet overseer?Hahaha! nilishaacha kuuza viazi,sikuhizi mimi ni muosha vyoo muandamizi pale Movenpick na cheusi karidhika na kazi yangu mlie tu mwaka huu lol!
kwa kiingereza hicho cheo chako ndio senior toilet overseer?
Ijumaa ya leo najisikia kutuma salamu za kimahaba moja kwa moja kutoka katika studio zilizoko moyoni mwangu zifike kwako wewe unayeufanya moyo wangu ustuke kama umepigwa na radi pindi ninapokuwaza.
Naona nisikutaje jina sababu unajua sina mwingine zaidi yako wewe asali ya moyo wangu mpenzi wa maisha yangu!
Baby i wish you a wonderful week-end.
IM SO GLAD TO HAVE U BAIBE IN MY LIFE!
:A S kiss::A S kiss::A S kiss::A S-rose::A S-rose::A S 101::A S 101::hug::hug:
Mimi naona tayari umeisha zituma unataka tena tuzifikishe kivipi mbona unatuchanganya tu, halafu cheusimangala avatar yako kama iko jinsi ulivyo basi unaweza leta vita vya nuklia hapa duniani
wazazi wakiniuliza kazi ya mchumba wangu itabidi niwaambie kwa kingredha sbb inasound vizuri kuliko kiswahili chake!
hata mc kwenye harusi itabidi tumwambie ataje kazi ya bwana harusi kwa kingreza!