Elections 2010 Nifikishieni ujumbe gazeti la tanzania daima

Elections 2010 Nifikishieni ujumbe gazeti la tanzania daima

Mtaka Haki

JF-Expert Member
Joined
Oct 1, 2010
Posts
492
Reaction score
149
Nimekuwa nje ya nchi na namna ya kufuatilia habari zinazoendelea imekuwa ni hapa kwenye jf na kupitia magazeti kwenye mitandao.
Nimesikitika kuwa gazeti hili ambalo linaandika vizuri sana habari za kampeni za chadema kwenye mtandao linakuwa liko toleo la nyuma sana.

Gazeti la tanzania daima linamilikiwa na kiongozi wa upinzani. Huu ungekuwa ni wakati wake wa kwenda na wakati kwa kufanya lipatikane mara likitoka kwenye mtandao kama wanavyofanya gazeti la mwananchi.
 
royal-fail.jpg


Wharrrabout this one
 
Basi hapo watakua wamekuelewa mwafrika, ukiendelea utakua umewaonea aka matumizi ya nguvu kupita kiasi
 
Kweli mkuuu yani week nzima kuna taarifa ya "slaa amvaa jk" peke yake au wameshindwa kulipia domain?
 
Back
Top Bottom