ntita
JF-Expert Member
- Dec 31, 2013
- 513
- 285
wana jf.
mimi ni mhitimu wa kdt cha 6 pcm. ufaulu wangu ni dv 1 pt 7. malengo yangu ni kusoma physics nikiwa chuo jambo ambalo linanilazimu kuichukua na education kwa bachelor degree ili niingie ktk soko la ajira kabla sijachukua masters na kuendelea. lakini kuna ndg haungi kabisa mkono wazo hili hasa ukizingatia wengi huchukulia anayesoma edu kama aliyefeli. sasa niko njia panda naombeni ushauri wenu. natanguliza shukurani
mimi ni mhitimu wa kdt cha 6 pcm. ufaulu wangu ni dv 1 pt 7. malengo yangu ni kusoma physics nikiwa chuo jambo ambalo linanilazimu kuichukua na education kwa bachelor degree ili niingie ktk soko la ajira kabla sijachukua masters na kuendelea. lakini kuna ndg haungi kabisa mkono wazo hili hasa ukizingatia wengi huchukulia anayesoma edu kama aliyefeli. sasa niko njia panda naombeni ushauri wenu. natanguliza shukurani