wana jf.
mimi ni mhitimu wa kdt cha 6 pcm. ufaulu wangu ni dv 1 pt 7. malengo yangu ni kusoma physics nikiwa chuo jambo ambalo linanilazimu kuichukua na education kwa bachelor degree ili niingie ktk soko la ajira kabla sijachukua masters na kuendelea. lakini kuna ndg haungi kabisa mkono wazo hili hasa ukizingatia wengi huchukulia anayesoma edu kama aliyefeli. sasa niko njia panda naombeni ushauri wenu. natanguliza shukurani
Una kipaji soma kijana uje kukomboa taifa hili tegemezi. Tunataka wataalamu wa kugundua vitendea kazi vya kutuletea maendeleo haraka.
wana jf.
mimi ni mhitimu wa kdt cha 6 pcm. ufaulu wangu ni dv 1 pt 7. malengo yangu ni kusoma physics nikiwa chuo jambo ambalo linanilazimu kuichukua na education kwa bachelor degree ili niingie ktk soko la ajira kabla sijachukua masters na kuendelea. lakini kuna ndg haungi kabisa mkono wazo hili hasa ukizingatia wengi huchukulia anayesoma edu kama aliyefeli. sasa niko njia panda naombeni ushauri wenu. natanguliza shukurani
kwa ushauri wako nisome nini badala yake.
Soma kile kinachokusukuma moyoni ucje ukaja ukajuta mbeleni kwa kile ulicho ambiwa usomee wakat hayakua n malengo yako. Ukifanya kitu unachkipenda lazima utakiheshimu na kukifanya kwa jitihada hekima busara na weledi ili uweze kuktimiza. BA in physics ni big deal sana, Taifa linahtaj waalimu wa masoma ya sayansi waliofaulu kwa kiwango cha juu kama wewe. Huta sumbuliwa swala la ajira tena ukifaulu vizuri kwa chuo kama UDSM unaweza ukabakishwa na kusomeshwa masters bure huku ukilipwa na mshahara.ila usickua mawzo ya watu ndo ukayafanyia kazi bali changanya na ya kwako pia alafu utatka na kitu cha maana sana.
una maana gani?
Nakushauri achana na ualimu hiyo ni ajira yenye watumishi wengi sana hivyo nchi yetu imeshindwa kabisa kuwathamini hata wale Wa masomo ya sayansi ambao ni wachache na muhimu.wana jf.
mimi ni mhitimu wa kdt cha 6 pcm. ufaulu wangu ni dv 1 pt 7. malengo yangu ni kusoma physics nikiwa chuo jambo ambalo linanilazimu kuichukua na education kwa bachelor degree ili niingie ktk soko la ajira kabla sijachukua masters na kuendelea. lakini kuna ndg haungi kabisa mkono wazo hili hasa ukizingatia wengi huchukulia anayesoma edu kama aliyefeli. sasa niko njia panda naombeni ushauri wenu. natanguliza shukurani