Nifundisheni jinsi ya kuandika Risala na Wasifu wa marehemu

Qaymo moja

Senior Member
Joined
Sep 1, 2017
Posts
133
Reaction score
53
Naomba kupewa ushirikiano hapa.

Naona style mpya ambayo risala na wasifu wa marehemu huandikwa na kusomwa mbele ya umma msibani tofauti na tulivyozoea.

Hili nimeliona ndani ya kanisa Katoliki walivyonilazimisha kuandika upya kwa ile risala niliyoandaa ya siku zote. Wao wameniambia nifute neno marehemu katika risala mwanzo mwisho.

Wajuzi wa lugha mje hapa.

By mtafuta ukweli.
 
ufute neno marehemu uandike lipi mbadala
 
Duh Sijui nisemeje emngojakwanza.
 
Nilishawahi kuandika risala ya marehemu na nikatumia neno Marehemu. Hapo kwenye ndugu badala ya marehemu nahisi inapendeza maana inasaidia kupunguza machungu kwa kiasi fulani.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…