Nifundisheni jinsi ya kurudisha sms zilizofutwa kwenye simu (smartphone)

Nifundisheni jinsi ya kurudisha sms zilizofutwa kwenye simu (smartphone)

Down To Earth

JF-Expert Member
Joined
Jul 8, 2011
Posts
21,940
Reaction score
16,643
Habari wana Tech wa JF?

Naomba mnisaidie namna ya kufanya sms recovery kwenye smartphone yangu

Natumia samsung galaxy A05, Kuna wakati nakuta sms muhimu sana zimefutwa hata kwenye recycle bin hazipo

Nawezaje kuzirudisha?

Au ni download APP gani ambayo itakaa humo na kunitunzia hizo sms endapo zikifutwa nizikute?
 
Kuna sms zinaingia kwenye storage sim card (line) nyingine zinaingia kwenye storage ya simu.
 
Habari wana Tech wa JF?

Naomba mnisaidie namna ya kufanya sms recovery kwenye smartphone yangu

Natumia samsung galaxy A05, Kuna wakati nakuta sms muhimu sana zimefutwa hata kwenye recycle bin hazipo

Nawezaje kuzirudisha?

Au ni download APP gani ambayo itakaa humo na kunitunzia hizo sms endapo zikifutwa nizikute?
Unatafuta stress
 
Habari wana Tech wa JF?

Naomba mnisaidie namna ya kufanya sms recovery kwenye smartphone yangu

Natumia samsung galaxy A05, Kuna wakati nakuta sms muhimu sana zimefutwa hata kwenye recycle bin hazipo

Nawezaje kuzirudisha?

Au ni download APP gani ambayo itakaa humo na kunitunzia hizo sms endapo zikifutwa nizikute?
Tumia program inaitwa sms restore and backup

Iko poa sana kwenye kuhifadhi sms na call logs zako utaa
 
Back
Top Bottom