Nifunzeni Kiswahili. maana ya neno BURE

Nifunzeni Kiswahili. maana ya neno BURE

leh

JF-Expert Member
Joined
May 30, 2012
Posts
827
Reaction score
369
sina shida na Airtel au huduma zao, lakini nataka kujua kwann hawa jamaa wa mitandao wantumia maneno ya kihuni kila siku na TRA wako wap? maana ya neno bure ni nini kama sio *bila malipo*??

maana mi sio msomi sana wa Kiswahili, lakini kwa Kimambo, free ni *without cost or payment*. hiyo Elfuna Mia Tano/ Elfu Tano sio malipo?? au wanarejesha mwisho wa week/ mwezi?

qq8ysh.png


na tukiendelea na hii mada, hamna sheria ya kunyima watu kutangaza mambo ambayo sio, yaani false advertising??

TRA wanafanya nini?? Buku yangu wanakata bure! nikiambiwa bila kikomo iwe unlimited kweli, free iwe free na ya week iwe 24*7

nimechukia sana
 
Bure ni HELLOW TANZANIA kaka...
.
HAKATWI MTU APA nilikopa ile nimeweka vocha tu waka nikata
.
HATOKI MTU APA tunaelekea wapi?
.
 
This is Business Languege Mkuu.
Kwa mfano bila shaka umewahi kuskia "Free download"..hapa maana yake hiyo sijui ni movie au Apps unayodownload haulipii chochote kwa sababu its given free..sasa ww utatumia tu gharama zako kifurushi kwa ajiri ya kukonek na Intaneti.

Back to Airtel,Wanaamini ukishanunua kile kifurushi cha BURE PACK basi wiki nzima utakua unapata huduma za Airtel Money free per each service. Tofauti na yule ambae anakuwa charged per each service

Mimi ni moja ya Watu wanaopinga jambo hili..Japo Airtel kama Profit-Oriented company yeyote hili ni jambo la kawaida
Ila tumeinjoi free service kidogo, Its now for Airtel to enjoy our massive shift(hamia Airtel)
 
This is Business Languege Mkuu.
Kwa mfano bila shaka umewahi kuskia "Free download"..hapa maana yake hiyo sijui ni movie au Apps unayodownload haulipii chochote kwa sababu its given free..sasa ww utatumia tu gharama zako kifurushi kwa ajiri ya kukonek na Intaneti.

Back to Airtel,Wanaamini ukishanunua kile kifurushi cha BURE PACK basi wiki nzima utakua unapata huduma za Airtel Money free per each service. Tofauti na yule ambae anakuwa charged per each service

Mimi ni moja ya Watu wanaopinga jambo hili..Japo Airtel kama Profit-Oriented company yeyote hili ni jambo la kawaida
Ila tumeinjoi free service kidogo, Its now for Airtel to enjoy our massive shift(hamia Airtel)

ukisema ni business language unakosea, maana kwa style hiyo, tutatapeliana sana kwa maneno ya *biashara*. kwenye nchi nyingi, lugha za *biashara* haziruhusiwi, naona lakini hapa bongo waanachia tu.

cheki hapa wikipedia..

False advertising or deceptive advertising is the use of false or misleading statements in advertising. As advertising has the potential to persuade people into commercial transactions that they might otherwise avoid, many governments around the world use regulations to control false, deceptive or misleading advertising. "Truth" refers to essentially the same concept, that customers have the right to know what they are buying, and that all necessary information should be on the label.
False advertising, in the most blatant of contexts, is illegal in most countries. However, advertisers still find ways to deceive consumers in ways that are legal, or technically illegal but unenforceable.
 
Back
Top Bottom