Sky Eclat
JF-Expert Member
- Oct 17, 2012
- 57,761
- 216,011
Nilisoma gazeti moja, Nigella Lawson anawaza watoto wake pocket money £60 kwa siku.
Mhh, hii ni budget yangu ya wiki mbili kwenda kazini na hapo katikati kuna siku ninazobeba kiporo cha wali canteen sifungui wallet.
Hapa ndiyo tunaona tofauti ya maisha. Na siajabu hii pesa kwa hawa watoto ni ndogo.
Hata kama nitajaliwa kuwa na pesa watoto wangu watajifunza ku budget. Katika mambo niliyoyapenda kwa Donald Trump, pamoja na mahela yake lakini watoto wake walipokuwa wanasoma walipewa kiasi cha pesa kitoshe mpaka semester inakwisha.
Walifua kwenye communal laundry kama watoto wengine wote. Matokea yake wako vizuri kwenye majukumu yao.
£60 a day for a child is a bit too much.
Kwa msiomfahamu Nigella Baba yake alikuwa waziri wa fedha wa Uingereza na aliolewa na Golden Sachs mwenye investment bank pia Nigella ni celebrate chef.