Nigeria: Ashikiliwa kwa utapeli, awadanganya waumini wakavunja misikiti yao

Nigeria: Ashikiliwa kwa utapeli, awadanganya waumini wakavunja misikiti yao

JanguKamaJangu

JF-Expert Member
Joined
Feb 7, 2022
Posts
2,780
Reaction score
6,607
ea1f4dc1-63d8-428a-bbd9-0ff94d793127.jpg

31c0a30c-c2d1-4778-a501-f8ca9d0e9da1.jpg
Misikiti 14 katika Jimbo la Jigawa imeathirika kwa kuvunjwa katika Jimbo la Jigawa Nchini Nigeria baada ya wakazi kuahidiwa kujengewa misikiti mipya mikubwa lakini mtoa ahadi akakimbia.

Mtuhumiwa huyo, Abba Haruna mwenye umri wa miaka 21, aliwaambia Wanakijiji kuwa taasisi ya kigeni ingejenga majengo mapya makubwa, lakini baada ya kukusanya paa, madirisha na milango iliyoondolewa katika misikiti husika alipotea kusikojulikana.

Kiongozi katika moja ya vijiji vilivyoathirika, Usaini Wanzam Ilyasu amesema mtuhumiwa alilipa vibaru waliokuwa wakivunja misikiti hiyo kisha akasema wajenzi wataanza kuwasili muda si mrefu kwa ajili ya ujenzi kamili.

Alipokuwa akiondoka maeneo husika hakurudi, alikamatwa baada ya wanakijiji kingine alikoenda kwa nia ya kuendeleza kile alichokuwa anakifanya kumshtukia.

Anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu kwenye Mji wa Kiyawa, leo Juni 30, 2022.


Source: BBC


====================

Nigerian villagers 'tricked' to demolish mosques

A Nigerian man allegedly tricked several villages into demolishing their mosques, telling them his "foreign NGO" would build new bigger buildings, authorities in the northern state of Jigawa say.

But he disappeared after collecting the roofs, windows and doors that were removed from the "small" mosques.

The suspect, who police have identified as Abba Haruna, 21, allegedly sold the materials.

A judiciary spokesman in Jigawa state, Abbas Rufa’i Wangara, told the BBC that 14 mosques were affected.

Usaini Wanzam Ilyasu, a traditional ruler in one of the villages who also spoke to the BBC, said the suspect even paid labourers who demolished their community mosque.

He said the man had asked local building block makers to start supplying materials to the supposed building site.

But when the alleged fraudster left, he never came back.

He was arrested after mosque officials in another community he visited became suspicious and raised the alarm.

Although the suspect was first charged last week, the news of the extraordinary incident is just emerging.

He is yet to take a plea and is expected back at a magistrates' court in Kiyawa town on Thursday.

A demolished mosque in Jigawa state.
 
Huyo jamaa alibet, mkeka ulikuwa na mechi 45 zilipofikia mechi 43 alikuwa na uhakika wa kupasua N 400Ml kwani aliweka mikeka miwil na mechi 2 zilizobaki zilikuwa zote za over 0.5 Ft. Bahati mbaya timu ya 45 ikatoka 0-0Ft na mkeka ukachanika
 
Huyo jamaa alibet, mkeka ulikuwa na mechi 45 zilipofikia mechi 43 alikuwa na uhakika wa kupasua N 400Ml kwani aliweka mikeka miwil na mechi 2 zilizobaki zilikuwa zote za over 0.5 Ft. Bahati mbaya timu ya 45 ikatoka 0-0Ft na mkeka ukachanika

nmecheka kishenz
 
Tatizo hawa watu wanapenda sana kitonga. Nyakati za kutegemea wafadhili kujenga nyumba za ibada umeisha. Nilishangaa nchi fulani wakati wa mfungo watu wanaomba mpaka msaada wa tende!!!! Tende kweli msaada?
Hawa jamaa sijui tuseme ni wavivu sana kwa sababu kwa Maisha ya kiafrika haiwezekani ukasali x5 kwa siku je muda kufanya kazi unaupata wapi.
Mm naona hayo Maisha wangewaachia waarabu wenye visima vya mafuta.
 
Misikiti 14 katika Jimbo la Jigawa imeathirika kwa kuvunjwa katika Jimbo la Jigawa Nchini Nigeria baada ya wakazi kuahidiwa kujengewa misikiti mipya mikubwa lakini mtoa ahadi akakimbia.

Mtuhumiwa huyo, Abba Haruna mwenye umri wa miaka 21, aliwaambia Wanakijiji kuwa taasisi ya kigeni ingejenga majengo mapya makubwa, lakini baada ya kukusanya paa, madirisha na milango iliyoondolewa katika misikiti husika alipotea kusikojulikana.

Kiongozi katika moja ya vijiji vilivyoathirika, Usaini Wanzam Ilyasu amesema mtuhumiwa alilipa vibaru waliokuwa wakivunja misikiti hiyo kisha akasema wajenzi wataanza kuwasili muda si mrefu kwa ajili ya ujenzi kamili.

Alipokuwa akiondoka maeneo husika hakurudi, alikamatwa baada ya wanakijiji kingine alikoenda kwa nia ya kuendeleza kile alichokuwa anakifanya kumshtukia.

Anatarajiwa kufikishwa katika Mahakama ya Hakimu kwenye Mji wa Kiyawa, leo Juni 30, 2022.


Source: BBC


====================

Nigerian villagers 'tricked' to demolish mosques

A Nigerian man allegedly tricked several villages into demolishing their mosques, telling them his "foreign NGO" would build new bigger buildings, authorities in the northern state of Jigawa say.

But he disappeared after collecting the roofs, windows and doors that were removed from the "small" mosques.

The suspect, who police have identified as Abba Haruna, 21, allegedly sold the materials.

A judiciary spokesman in Jigawa state, Abbas Rufa’i Wangara, told the BBC that 14 mosques were affected.

Usaini Wanzam Ilyasu, a traditional ruler in one of the villages who also spoke to the BBC, said the suspect even paid labourers who demolished their community mosque.

He said the man had asked local building block makers to start supplying materials to the supposed building site.

But when the alleged fraudster left, he never came back.

He was arrested after mosque officials in another community he visited became suspicious and raised the alarm.

Although the suspect was first charged last week, the news of the extraordinary incident is just emerging.

He is yet to take a plea and is expected back at a magistrates' court in Kiyawa town on Thursday.

A demolished mosque in Jigawa state.
[emoji1787][emoji1787]dunia ya sasa hakuna waislamu bali imejaa takataka za waisiharamu tu...watu walio jaa uchu wa mali na unafiki na ubinafsi
 
Mtupieni jini Fatuma ahangaike nalo hahahahaha
Nalog off Z
 
Hawa jamaa sijui tuseme ni wavivu sana kwa sababu kwa Maisha ya kiafrika haiwezekani ukasali x5 kwa siku je muda kufanya kazi unaupata wapi.
Mm naona hayo Maisha wangewaachia waarabu wenye visima vya mafuta.
majimbo ya kaskazini mwa Nigeria yana vyama vya kuomba omba mitaani. fuatilia BBC documentaries utashangaa jinsi vyama hivyo vilivyo sajiliwa kihali na kupata wanachama ambao hupewa majukumu ya kila siku kuingia mitaani kuomba!
 
majimbo ya kaskazini mwa Nigeria yana vyama vya kuomba omba mitaani. fuatilia BBC documentaries utashangaa jinsi vyama hivyo vilivyo sajiliwa kihali na kupata wanachama ambao hupewa majukumu ya kila siku kuingia mitaani kuomba!
majimbo ya kaskazini mwa Nigeria yana vyama vya kuomba omba mitaani[emoji15][emoji3064]
 
majimbo ya kaskazini mwa Nigeria yana vyama vya kuomba omba mitaani. fuatilia BBC documentaries utashangaa jinsi vyama hivyo vilivyo sajiliwa kihali na kupata wanachama ambao hupewa majukumu ya kila siku kuingia mitaani kuomba!
Hii ni hatari sana na humo ndani ya vikundi vya kuomba msaada ndio huwa wanaanzisha na vikundi vya kigaidi.
 
Kaskazini mwa Nigeria ni eneo lililo nyuma sana kimaendeleo pamoja na kwamba marais wengi wa nchi hiyo wametokea eneo hilo.

Bado mwamko wa elimu uko chini kwa sababu ya imani ya kidini kwamba elimu inayofaa ni ya kidini ambayo hufanya wananchi wengi kutokuwa na upeo wa mambo.

Katika eneo hilo kuna watu wengi wenye ugonjwa wa kupooza miguu baada ya wazazi wao kukataa kuwapeleka wakapatiwe chanjo kwa kudai kwamba chanjo hizo ni mbinu za nchi za magharibi kupunguza idadi yao.
 
Back
Top Bottom