Hivi bado kuna watu wanaishi zama za "giza?"“Plateau Utd wamekataa kuruhusu mechi kurushwa mubashara. Licha ya juhudi zetu zote tukishirikiana na mshiriki wetu AZAM TV, mwenyeji wetu amekataa kushirikiana kwenye hilo. Nichukue nafasi hii kuomba radhi kwa wapenzi wetu wote ulimwenguni ambao walitaka kuangalia mechi hii. Mpaka muda huu, tunapigania hii mechi iweze kuoneshwa mubashara (live).”
— Barbara Gonzalez
Mtendaji Mkuu, Simba Sports Club
bora wasionyeshe tu maana Tanzania inahaibika tuombe tu zisifike goli tano
Wanaogopa kuoga magoli,maana hii tinu haijawahi kufanya mazoezi kabisa“Plateau Utd wamekataa kuruhusu mechi kurushwa mubashara. Licha ya juhudi zetu zote tukishirikiana na mshiriki wetu AZAM TV, mwenyeji wetu amekataa kushirikiana kwenye hilo. Nichukue nafasi hii kuomba radhi kwa wapenzi wetu wote ulimwenguni ambao walitaka kuangalia mechi hii. Mpaka muda huu, tunapigania hii mechi iweze kuoneshwa mubashara (live).”
— Barbara Gonzalez
Mtendaji Mkuu, Simba Sports Club
“Plateau Utd wamekataa kuruhusu mechi kurushwa mubashara. Licha ya juhudi zetu zote tukishirikiana na mshiriki wetu AZAM TV, mwenyeji wetu amekataa kushirikiana kwenye hilo. Nichukue nafasi hii kuomba radhi kwa wapenzi wetu wote ulimwenguni ambao walitaka kuangalia mechi hii. Mpaka muda huu, tunapigania hii mechi iweze kuoneshwa mubashara (live).”
— Barbara Gonzalez
Mtendaji Mkuu, Simba Sports Club
ni kiswahiliInahaibika ndio nini? ni lugha gani hii?
Mchezo wa kwanza wa Ligi ya Mabingwa kati ya Plateau United dhidi ya Simba ambao utapigwa baadae leo uwanja wa New Jos huko Nigeria, hautaonyeshwa mbasharaPls ....reason behind? what about SuperSport?
Kweli mkuu?Mpira utaonyeshwa live azam sport 1 hd 12 jioni new update from Azam
Sent from my TECNO CA7 using JamiiForums mobile app
CAFThis is africa my friend! Cuf nao wamekaa kimya katika hili. Kama kila timu ikifanya hivi haya mashindano yatakuwa ya kijinga kabisa kupata kutokea.