Nigeria kwa sasa wanazalisha magari bora kuliko Japan, Tanzania tuige mfano

Nigeria kwa sasa wanazalisha magari bora kuliko Japan, Tanzania tuige mfano

hapa bongolala yanapatikana wapi
Sidhani kama Tz tuna utamaduni wa kununua magari mapya, sisi ni used tu, na hiki ndicho kinaua viwanda vya ndani, hata nguo za mtumba, zinadumaza na kuua kabisa viwanda vya ndani
 
Sidhani kama Tz tuna utamaduni wa kununua magari mapya, sisi ni used tu, na hiki ndicho kinaua viwanda vya ndani, hata nguo za mtumba, zinadumaza na kuua kabisa viwanda vya ndani
kweli bwana halafu gharama ya kununua gari jipya ni sawa na kununua used 5 ukizingatia wabongo tunavyopenda sifa ya quantity
 
Sidhani kama Tz tuna utamaduni wa kununua magari mapya, sisi ni used tu, na hiki ndicho kinaua viwanda vya ndani, hata nguo za mtumba, zinadumaza na kuua kabisa viwanda vya ndani
Onyesha mfano wa kuigwa kwa kuachana na hilo brevis lako na kununua hayo mapya ya nigeria
 
Nyie bado mko kwenye kununua korosho, hamuwazi vingine.
Mkuu wa kaya huyo huyo
Mnunua kororsho huyo huyo
Mtumbua mawaziri huyo huyo
Mvumbua magari huyo huyo, SI MTAMUUA? KILA KITU YEYE PEKE YAKE, JARIBU KUGUSA BILA RIDHAA YAKE UONE
 
Magari wamecopy na kupaste kabisa!! Afu hapo ni kama workshop tu na sio kiwanda cha magari hebu angalia viwanda vya magari ndo utagundua tofauti yake! Hapo ni kama wanaunganisha na sio kuyaunda ingawa wamejitahidi sana ila kwa hii video hata ukiwapa vijana wa pale mtaa wa Lindi wanaweza kukufanyia zaidi ya hawa jamaa
 
Ikiwa nyie ni Watz
kwa maneno haya,maendeleo tumeyazika tokea zamani
 
Back
Top Bottom