Hawa jamaa sijui shida ni nini...?Alafu ni nchi yenye uchumi mzuri na miongoni mwaka nchi zenye Jeshi lenye nguvu Africa. Sijui serikali yao inakwama wapi magaidi wanateka wanawake na kuharibu vijiji daily
Mkuu nina amini katika hili. The Nigerian government is capable to suppress all those terrorist groups in just a matter of eye blinking. No biashara ya mataifa ya magharibi ikiwezekana na Iran kwa upande wa BokoharamNahisi ile ni biashara ya watu. Haiwezekani nchi yenye jeshi imara lenye vifaa vya kisasa kama Nigeria ishindwe kumaliza kikundi cha waasi cha Boko Haramu.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapata pia,,,andiko linasema yani yule muislam wa chini kabsa mtenda dhambi kabisa wa kutupwa mlevi,mzinzi,mwizi,shoga,mchawi yeye ndo atapata bikra 72...kwahyo hao waliouana wao kwa wao pia ni wauaji watapata 72....Hivi wanapouana, hupata mabikira kule peponi au huwa vipi, naomba mashekhe mtusaidie kuelewa hili.
Eeh kila kitu blame the Americans na mayahudiUtasikia marekani anawachonganisha,
Bado wanachonganishwa na marekani wanauwana alafu MTU akifa wanasema kafa SHAHIDI. Huwa siwaelewi kabisaEeh kila kitu blame the Americans na mayahudi
..
Watakuambia some walikuwa upande wa Israel some walikuwa upande wa marekani ndomana wakauwana
Wapiganaji wa Boko Haram ambao ni watiifu kwa Abubakar Shekau walivamia kambi moja ya kundi hasimu ya kundi linalojiita Dola la Kiislamu la Afrika Magharibi (ISWAP) na kusababisha makabiliano makali ya risasi ambayo yalisababisha vifo vingi
Mapigano makali ya kufyatuliana risasi kati ya makundi mawili ya itikadi kali kaskazini mashariki mwa Nigeria yamesababisha wapiganaji wengi kuuwawa
Wapiganaji wa Boko Haram waliishambulia kambi ya kijiji cha Sunnawa katika wilaya ya Abadam karibu na mpaka na Niger
Wanamgambo wa kundi la ISWAP awali waliwavamia Boko Haram katika eneo la Diffa lililoko jirani ya Nigeria ambako waliwateka nyara wanawake 13
Chanzo: DW
Wana jeshi la gwaride tu ambalo kwa miaka mingi limeathiriwa na ufisadi na rushwa ndio maana wanajeshi hawana mafunzo mazuri wala silaha za kisiasa za kupambana na hao wanaitikadi.Eti wanadai nigeria wana jeshi zuri kwa africa sasa kwa nini washindwe kukamaliza kakikundi kama hicho hakuna jeshi huko wapumbafu tu majigambo yanawasumbua
Nini wewee qengeh mla ugoro na mawani yako uchwaraBoth team to score hiyo.
Bawasili inakuua badala ya kutafuta tiba unakaa mitandaoni. Nenda utafute dawa utakuja kufa kizembe.Nini wewee qengeh mla ugoro na mawani yako uchwara