Nigeria: Mchezaji anayelipwa zaidi ligi ni Tsh. 2.5 million

Nigeria: Mchezaji anayelipwa zaidi ligi ni Tsh. 2.5 million

Labani og

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2020
Posts
19,637
Reaction score
29,473
Mshambuliaji wa Remo Stars Alimi Sikiru ndio mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwenye ligi ya Nigeria akiwa analipwa Naira Milioni 1.3 (sawa na Dola za Marekani 1000$ au 2.5m Tshs) kwa mwezi.

Hivi karibuni mchezaji huyo amelalamika kuwa toka zivuje taarifa za yeye kuwa mtu anayelipwa kuliko wote kwenye ligi watu wengi wamekuwa wakimsumbua kumuomba misaada (VIZINGA).

Katika msimu huu wa ligi amefunga mabao 14 kwenye mechi 30 huku akitoa assists 3.

CREDIT @geoff_lea

1717055457642.jpg
 
Mshambuliaji wa Remo Stars Alimi Sikiru ndio mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwenye ligi ya Nigeria akiwa analipwa Naira Milioni 1.3 (sawa na Dola za Marekani 1000$ au 2.5m Tshs) kwa mwezi

Hivi karibuni mchezaji huyo amelalamika kuwa toka zivuje taarifa za yeye kuwa mtu anayelipwa kuliko wote kwenye ligi watu wengi wamekuwa wakimsumbua kumuomba misaada (VIZINGA)

Katika msimu huu wa ligi amefunga mabao 14 kwenye mechi 30 huku akitoa assists 3.

CREDIT @geoff_leaView attachment 3003467
Source?
Mbona mimi nimeangalia haraka haraka nimeona kuna wachezaji kwenye hiyo ligi wanalipwa maia ya mamilioni?
Cheki hapa: Top 10 Highest Paid Nigerian Footballers in Nigerian Premier League (2024) - Nigerian Queries.

"Ahmed Musa is currently the highest paid football player in the Nigerian Premier League. The player currently plays for Kano Pillars and his net worth is valued at ₦6.5 billion. Ahmed Musa has played for a good number of top football teams throughout his career. This was when he played for two of the richest countries in the world. The football star earned much at Russia and Saudi Arabia. Being at these clubs has put him in a top position as one of the most richest footballers in the country.
Looking at Ahmed Musa wealth, he owns many expensive properties, including a Range Rover Sport which cost $50,000; A Range Rover Velar worth $60,500; and a Mercedes Benz G-Wagon that is valued at $127,650. It is also believed that the NPFL winger owns a mansion in Nigeria worth N500 million. The footballer as well maintains a barbing saloon worth N500 million in Kano."
 
Source?
Mbona mimi nimeangalia haraka haraka nimeona kuna wachezaji kwenye hiyo ligi wanalipwa maia ya mamilioni?
Cheki hapa: Top 10 Highest Paid Nigerian Footballers in Nigerian Premier League (2024) - Nigerian Queries.

"Ahmed Musa is currently the highest paid football player in the Nigerian Premier League. The player currently plays for Kano Pillars and his net worth is valued at ₦6.5 billion. Ahmed Musa has played for a good number of top football teams throughout his career. This was when he played for two of the richest countries in the world. The football star earned much at Russia and Saudi Arabia. Being at these clubs has put him in a top position as one of the most richest footballers in the country.
Looking at Ahmed Musa wealth, he owns many expensive properties, including a Range Rover Sport which cost $50,000; A Range Rover Velar worth $60,500; and a Mercedes Benz G-Wagon that is valued at $127,650. It is also believed that the NPFL winger owns a mansion in Nigeria worth N500 million. The footballer as well maintains a barbing saloon worth N500 million in Kano."
Uongo hyo mzee
 
Mshambuliaji wa Remo Stars Alimi Sikiru ndio mchezaji anayelipwa mshahara mkubwa kuliko wote kwenye ligi ya Nigeria akiwa analipwa Naira Milioni 1.3 (sawa na Dola za Marekani 1000$ au 2.5m Tshs) kwa mwezi.

Hivi karibuni mchezaji huyo amelalamika kuwa toka zivuje taarifa za yeye kuwa mtu anayelipwa kuliko wote kwenye ligi watu wengi wamekuwa wakimsumbua kumuomba misaada (VIZINGA).

Katika msimu huu wa ligi amefunga mabao 14 kwenye mechi 30 huku akitoa assists 3.

CREDIT @geoff_lea

View attachment 3003467
Utajiri wa Ahmad Musa tu wa 6.5bn neira unaendesha ligi yetu bongo kwa miaka 10, sasa utasemaje huyu jama analipwa 2.5m za kibongo haiwezekani kabisa.
 
Source?
Mbona mimi nimeangalia haraka haraka nimeona kuna wachezaji kwenye hiyo ligi wanalipwa maia ya mamilioni?
Cheki hapa: Top 10 Highest Paid Nigerian Footballers in Nigerian Premier League (2024) - Nigerian Queries.

"Ahmed Musa is currently the highest paid football player in the Nigerian Premier League. The player currently plays for Kano Pillars and his net worth is valued at ₦6.5 billion. Ahmed Musa has played for a good number of top football teams throughout his career. This was when he played for two of the richest countries in the world. The football star earned much at Russia and Saudi Arabia. Being at these clubs has put him in a top position as one of the most richest footballers in the country.
Looking at Ahmed Musa wealth, he owns many expensive properties, including a Range Rover Sport which cost $50,000; A Range Rover Velar worth $60,500; and a Mercedes Benz G-Wagon that is valued at $127,650. It is also believed that the NPFL winger owns a mansion in Nigeria worth N500 million. The footballer as well maintains a barbing saloon worth N500 million in Kano."
Soma vizuri maelezo, mtoa mada yupo Sahihi, huyo unayemtaja hizo Naira Billion 6.5 ni Net worth na kumbuka alishawahi kucheza Saudi Arabia, soma vizuri kwenye link , anayemfatia anapokea Naira 1.2 Million
 
Source?
Mbona mimi nimeangalia haraka haraka nimeona kuna wachezaji kwenye hiyo ligi wanalipwa maia ya mamilioni?
Cheki hapa: Top 10 Highest Paid Nigerian Footballers in Nigerian Premier League (2024) - Nigerian Queries.

"Ahmed Musa is currently the highest paid football player in the Nigerian Premier League. The player currently plays for Kano Pillars and his net worth is valued at ₦6.5 billion. Ahmed Musa has played for a good number of top football teams throughout his career. This was when he played for two of the richest countries in the world. The football star earned much at Russia and Saudi Arabia. Being at these clubs has put him in a top position as one of the most richest footballers in the country.
Looking at Ahmed Musa wealth, he owns many expensive properties, including a Range Rover Sport which cost $50,000; A Range Rover Velar worth $60,500; and a Mercedes Benz G-Wagon that is valued at $127,650. It is also believed that the NPFL winger owns a mansion in Nigeria worth N500 million. The footballer as well maintains a barbing saloon worth N500 million in Kano."

Ahmed katajirika kwa kacheza miaka mingi nchi za nje, Nigeria mishahara ni midogo sana. Mara ya mwisho kacheza Nigeria mwaka moja tu 2021 klabu yake iliyomkuza na si ajabu alikuwa anajitolea bure, baada ya hapo katimkia tena ulaya.


2010–2012 VVV-Venlo - Udachi
2012–2016 CSKA Moscow - Urusi
2016–2018 Leicester City - Uingereza
2018 → CSKA Moscow - Urusi
2018–2020 Al Nassr - Saudi Arabia
2021 Kano Pillars - Nigeria
2021–2022 Fatih Karagümrük - Uturuki
2022–2024 Sivasspor - Uturuki
 
Source?
Mbona mimi nimeangalia haraka haraka nimeona kuna wachezaji kwenye hiyo ligi wanalipwa maia ya mamilioni?
Cheki hapa: Top 10 Highest Paid Nigerian Footballers in Nigerian Premier League (2024) - Nigerian Queries.

"Ahmed Musa is currently the highest paid football player in the Nigerian Premier League. The player currently plays for Kano Pillars and his net worth is valued at ₦6.5 billion. Ahmed Musa has played for a good number of top football teams throughout his career. This was when he played for two of the richest countries in the world. The football star earned much at Russia and Saudi Arabia. Being at these clubs has put him in a top position as one of the most richest footballers in the country.
Looking at Ahmed Musa wealth, he owns many expensive properties, including a Range Rover Sport which cost $50,000; A Range Rover Velar worth $60,500; and a Mercedes Benz G-Wagon that is valued at $127,650. It is also believed that the NPFL winger owns a mansion in Nigeria worth N500 million. The footballer as well maintains a barbing saloon worth N500 million in Kano."
hawajasema hapo kano analipwaje zaid ya kusema tu amechezea russia na saud arabia na mali anazomiliki ukute kano wanamlipa $300
 
Ahmed katajirika kwa kacheza miaka mingi nchi za nje, Nigeria mishahara ni midogo sana. Mara ya mwisho kacheza Nigeria 2021 kisha kutimkia tena ulaya.


2010–2012 VVV-Venlo - Udachi
2012–2016 CSKA Moscow - Urusi
2016–2018 Leicester City - Uingereza
2018 → CSKA Moscow - Urusi
2018–2020 Al Nassr - Saudi Arabia
2021 Kano Pillars - Nigeria
2021–2022 Fatih Karagümrük - Uturuki
2022–2024 Sivasspor - Uturuki
malizieni article wanaofuta naona kuna,
2-1.2 Mil
3-1 Mil
4-900k

Naira 1= 1.73 Tsh




THEOPHILUS AFELOKHAI​

Theophilus Afelokhai is Nigerian Professional Football League most paid player in the wake of getting paperwork done for Rivers United where he procures ₦1.2 million monthly. The 32-year-old footballer won the NPFL with Kano Pillars and Enyimba and this has motivated his signing to the southern club. Afelokhai’s experience will be enough as Rivers United look to win the league.

GODWIN OBAJE​

Godwin Obaje is one of best paid players in the Nigerian Professional Football league. With a monthly salary of ₦1 million, the forward is one of the most skillful soccer players that is in the league.

Obaje plays the part of a striker for Ifeanyi Ubah FC and he’s one of the top scorers in the team. It was likewise detailed that the player had tried to move to clubs abroad. Nonetheless, his endeavors had been effortless. This restriction has driven him to get comfortable with the Nigerian football league at the moment.

IFEANYI ANAEMENA​

Ifeanyi Anaemena is a former player for Enyimba FC. The centre back was bought by Rivers United a year ago having gone through six years at Enyimba where he won two NPFL titles, the remainder of which he lifted as the captain of the Aba Elephants. With a current salary of $2,361 which is ₦900,000 when converted to Naira, Ifeanyi is one of the highest paid Nigerian football player in the league
 
Back
Top Bottom