Hatahapa bongo hivyo hivyoImeripotiwa kuwepo mvutano wa kimadaraka kati ya Rais Muhammadu Buhari na Makamu wa Rais, ambapo licha ya Rais kwenda Uingereza kwa ziara binafsi ya siku 15, hajakabidhi madaraka kwa msaidizi wake, hivyo kulazimu nyaraka zinazohitaji saini yake kupelekwa Uingereza.
Chanzo: Swahili times
Nigeria is the one of the weak government in Africa
Lugha tunajifunza usipate taabu,Lugha sio Elimu.'one of the weak'
Matunda ya elimu za hapa na pale hayo.
Ni kweli mkuu elimu ya hapa na pale ni nzuri sana.Lugha tunajifunza usipate taabu,Lugha sio Elimu.
Nigeria is the one of the weak government in Africa
“Nigeria Is Among The ................:::::....
Ungeandika kiswahili acha ujuajiNigeria is the one of the weak government in Africa
Kawaambie CCM wakupe pesa ukamwone Ras Simba haraka.Nigeria is the one of the weak government in Africa
Hahah.Kawaambie CCM wakupe pesa ukamwone Ras Simba haraka.