Nigeria: Mvutano kati ya Rais na Makamu wake wakwamisha shughuli za kiserikali

Suley2019

JF-Expert Member
Joined
Oct 7, 2019
Posts
2,203
Reaction score
5,610
Imeripotiwa kuwepo mvutano wa kimadaraka kati ya Rais Muhammadu Buhari na Makamu wa Rais, ambapo licha ya Rais kwenda Uingereza kwa ziara binafsi ya siku 15, hajakabidhi madaraka kwa msaidizi wake, hivyo kulazimu nyaraka zinazohitaji saini yake kupelekwa Uingereza.

Chanzo: Swahili times
 
Hatahapa bongo hivyo hivyo
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…