Nigeria: Mwanamke ajifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa bila mtoto

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363


Mwanamke wa Nigeria Obinuju Anthonia Ibeanu, amejifungua watoto 9 baada ya miaka 25 ya ndoa.

Ripoti zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zilifichua kuwa mwanamke huyo alikuwa ameolewa kwa zaidi ya miongo miwili lakini hakubahatika kupata mtoto katika kipindi chote hicho.

Kwa bahati nzuri, alijaliwa watoto 9 wa kufidia miaka yote ambayo hakuwa na mtoto wa kumwita wake.

Picha zilizoenea kwenye mitandao ya kijamii zinamuonyesha Bi Ibeanu akiwa ameketi pembeni ya kitanda ambacho kilikuwa kimebeba watoto wake tisa.

The Evangelist
 
Hii inaitwa jiwe moja kwa ndege 9
 
It doesn't get better than this! What a blessing👏👏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…