Nigeria: Rais Buhari akiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama

Nigeria: Rais Buhari akiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama

beth

JF-Expert Member
Joined
Aug 19, 2012
Posts
3,880
Reaction score
6,368
Rais Muhammadu Buhari amekiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama Nchini humo, ahadi ambayo alitoa alipochaguliwa mwaka 2015.

Kauli yake imekuja wakati baadhi ya Wananchi wakiandamana kuhusu Usalama Nchini Nigeria. Kundi la Boko Haram limezidisha matukio ya ghasia miezi ya hivi karibuni.

=======

Nigeria's President Muhammadu Buhari has admitted that he has failed to end insecurity in the country, a promise he made when he was elected in 2015.

In a TV address, he said the fight against Islamist militants in the north had had the unintended consequence of spreading violence to other areas.

Mr Buhari extended his "heartfelt condolences" to families of victims.

The Boko Haram Islamist group, which began its insurgency in 2009, has stepped up attacks in recent months.

After his election in 2015, President Buhari said the group had been "technically defeated" by an army offensive.

But there have been dozens of attacks in the north-east since the start of the year, and a number of military bases as well as towns have been overrun by the militants.

Weapons, food and medicines have also been looted.

In his address marking Democracy Day on Saturday, President Buhari said the past two years had seen "challenges that would have destroyed other nations, especially relating to our collective security".

Referring to the attacks and kidnappings that have spread to north-west and central Nigeria, he said: "Unfortunately, like most conflict situations, some Nigerian criminals have taken advantage of a difficult situation".

He expressed his condolences to "families and friends of our countrymen, women and children who have been the unfortunate victims of such senseless kidnappings and murders"

The president said he would do "everything in [his] power to ensure security".

The speech came as some Nigerians gathered for nationwide protests over issues of insecurity.

In recent times, security forces have attacked protesters and many have accused the government of trying to prevent criticism.

Key protest organisers have often been targeted and arrested

Source: BBC
 
Rais Muhammadu Buhari amekiri kushindwa kumaliza hali tete ya usalama Nchini humo, ahadi ambayo alitoa alipochaguliwa mwaka 2015.

Kauli yake imekuja wakati baadhi ya Wananchi wakiandamana kuhusu Usalama Nchini Nigeria. Kundi la Boko Haram limezidisha matukio ya ghasia miezi ya hivi karibuni.

=======

Nigeria's President Muhammadu Buhari has admitted that he has failed to end insecurity in the country, a promise he made when he was elected in 2015.

In a TV address, he said the fight against Islamist militants in the north had had the unintended consequence of spreading violence to other areas.

Mr Buhari extended his "heartfelt condolences" to families of victims.

The Boko Haram Islamist group, which began its insurgency in 2009, has stepped up attacks in recent months.

After his election in 2015, President Buhari said the group had been "technically defeated" by an army offensive.

But there have been dozens of attacks in the north-east since the start of the year, and a number of military bases as well as towns have been overrun by the militants.

Weapons, food and medicines have also been looted.

In his address marking Democracy Day on Saturday, President Buhari said the past two years had seen "challenges that would have destroyed other nations, especially relating to our collective security".

Referring to the attacks and kidnappings that have spread to north-west and central Nigeria, he said: "Unfortunately, like most conflict situations, some Nigerian criminals have taken advantage of a difficult situation".

He expressed his condolences to "families and friends of our countrymen, women and children who have been the unfortunate victims of such senseless kidnappings and murders"

The president said he would do "everything in [his] power to ensure security".

The speech came as some Nigerians gathered for nationwide protests over issues of insecurity.

In recent times, security forces have attacked protesters and many have accused the government of trying to prevent criticism.

Key protest organisers have often been targeted and arrested

Source: BBC
Aibu tupu,nchi ina mafuta,rasilimali kibao,Tajiri mkubwa Afrika,yupo hapo,lakini nchi imejaa Rushwa balaa,na Raisi ameshindwa kuongozwa,
Sasa si bora Waite wachina wawasaidie kuongoza nchi.
 
Kuingoza nchi yenye wajuaji, wasomi, majizi, magaidi na waliokata tamaa ni hatari Sana, sio kama bendera wafuata upepo kama bongo utafanya unavyotaka Kama jiwe
 
Aibu tupu,nchi ina mafuta,rasilimali kibao,Tajiri mkubwa Afrika,yupo hapo,lakini nchi imejaa Rushwa balaa,na Raisi ameshindwa kuongozwa,
Sasa si bora Waite wachina wawasaidie kuongoza nchi.
Ili nchi iende sawasawa ufisadi ni lazima upingwe kwa nguvu zote,wanaomchezea akili ni mabepari walioingia nao mikataba ya hovyo,huku wachahce wenye pesa wakifaidika na kundi kubwa la walala hoi kwakitaabiaka..
 
Huyu Raisi anapitia wakati mgumu sana, na kama kuna mkono wa mabeberu pale maana hicho kikundi mmhhh!!
Hilo linaweza kuwa jambo moja. Lakini tatizo jingine wanaijeria wenyewe wanasema Boko Kharam wana mkono mrefu kwenye mihimili yote ya Nigeria. Kuna mnaijeria alinigusia hili. Kimsingi wako kwenye shida sana.
PicsArt_06-13-01.52.28.jpg
PicsArt_06-13-01.53.39.jpg
PicsArt_06-13-01.55.05.jpg
 
Back
Top Bottom