JanguKamaJangu
JF-Expert Member
- Feb 7, 2022
- 2,780
- 6,607
Mamlaka za Forodha Nigeria imekamata viungo vya uzazi vya Punda wa kiume 7,000 vilivyokuwa Uwanja wa Ndeger kwa ajili ya kusafirishwa kuelekea Hong Kong.
Viungo hivyo vilikuwa katika magunia 16 na vilibainika baada ya kutoa harufu, na gharama yake imetajwa kuwa ni Dola 478,000 (Tsh. Bilioni 1.1), mhusika wa mzigo huo alitoroka kusikojulikana.
Sheria ya Nigeria inazuia kuuza viungo vya Punda nje ya Nchi, wakati ambapo viungo vya mnyama huyo vimetajwa kuwa muhimu China kutokana na kudaiwa kutumika kutengeneza dawa za asili.
---------------
Nigeria's customs service has intercepted 7,000 donkey penises at an airport in the commercial hub, Lagos, that were headed to Hong Kong, according to an official.
The animal parts were packed in 16 sacks found in the animal export section, said Sambo Dangaladima, the customs controller at Murtala Muhammed airport.
He said the smell from the sacks aroused suspicion of the authorities.
The consignment is estimated to be worth 200 million Naira ($478,000; £416,000)
A suspect linked to the package is said to have escaped.
Donkey parts are sought after in China where they are used to make traditional medicine.
Nigerian law forbids export of donkey parts.
Source: BBC
Viungo hivyo vilikuwa katika magunia 16 na vilibainika baada ya kutoa harufu, na gharama yake imetajwa kuwa ni Dola 478,000 (Tsh. Bilioni 1.1), mhusika wa mzigo huo alitoroka kusikojulikana.
Sheria ya Nigeria inazuia kuuza viungo vya Punda nje ya Nchi, wakati ambapo viungo vya mnyama huyo vimetajwa kuwa muhimu China kutokana na kudaiwa kutumika kutengeneza dawa za asili.
---------------
Nigeria's customs service has intercepted 7,000 donkey penises at an airport in the commercial hub, Lagos, that were headed to Hong Kong, according to an official.
The animal parts were packed in 16 sacks found in the animal export section, said Sambo Dangaladima, the customs controller at Murtala Muhammed airport.
He said the smell from the sacks aroused suspicion of the authorities.
The consignment is estimated to be worth 200 million Naira ($478,000; £416,000)
A suspect linked to the package is said to have escaped.
Donkey parts are sought after in China where they are used to make traditional medicine.
Nigerian law forbids export of donkey parts.
Source: BBC