Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

Nigeria yaacha kununa, ipo tayari kujiunga na Waafrika wengine, pia Kiswahili chateuliwa kama lugha rasmi ya Afrika

MK254

JF-Expert Member
Joined
May 11, 2013
Posts
32,408
Reaction score
50,809
Nigeria ambayo ilikua kwenye miongoni mwa mataifa machache yanayonunia muungano wa Afrkia wenye dhamira ya kufunguliana kibiashara, imekubali itatia saini baada ya kuona mwanga. Hivyo soko la watu zaidi ya bilioni moja linazidi kutanua na kama wasemavyo wengi, yajayo yanafurahisha.

Wakati huo huo Kiswahili chapokelewa kama lugha rasmi ya Afrika, hivyo kwa kufunguliana kibiashara Afrika yote na kufanya Kiswahili lugha yetu, tunakwenda kwa kasi kwenye kuunganisha bara hili. Rais Uhuru anatarajiwa kuhudhuria kikao cha huu muungano mpya wa Afrika utakaofanyika Niamey, NIger. Jitihada zake rais Uhuru ni muhimu sana maana yeye amehusika pakubwa kwenye kuhamasisha muungano kupokea Kiswahili. Ikizingatiwa pia Wakenya wanakwenda Afrika Kusini kufundisha Kiswahili.
Ikumbukwe pia Kenya inashughulika kuhakikisha makao makuu ya huu muungano yatakua Nairobi, hivyo kwa kurasimisha Kiswahili na kwamba Kiswahili ni lugha yetu ya taifa, ina maana Kenya ndio itakua kitovu cha huu muungano.

Wanaoendelea kununa waendelee, labda ipo siku watajishtukia, au waamshwe kwa vibao, japo pia nahisi kununa kwao na usingizi wao ni mtaji wetu

 
Nigeria ambayo ilikua kwenye miongoni mwa mataifa machache yanayonunia muungano wa Afrkia wenye dhamira ya kufunguliana kibiashara, imekubali itatia saini baada ya kuona mwanga. Hivyo soko la watu zaidi ya bilioni moja linazidi kutanua na kama wasemavyo wengi, yajayo yanafurahisha.

Wakati huo huo Kiswahili chapokelewa kama lugha rasmi ya Afrika, hivyo kwa kufunguliana kibiashara Afrika yote na kufanya Kiswahili lugha yetu, tunakwenda kwa kasi kwenye kuunganisha bara hili. Rais Uhuru anatarajiwa kuhudhuria kikao cha huu muungano mpya wa Afrika utakaofanyika Niamey, NIger. Jitihada zake rais Uhuru ni muhimu sana maana yeye amehusika pakubwa kwenye kuhamasisha muungano kupokea Kiswahili. Ikizingatiwa pia Wakenya wanakwenda Afrika Kusini kufundisha Kiswahili.

Wanaoendelea kununa waendelee, labda ipo siku watajishtukia, au waamshwe kwa vibao

Kina nani walionuna, mbona unawashwa.
 
Nigeria ambayo ilikua kwenye miongoni mwa mataifa machache yanayonunia muungano wa Afrkia wenye dhamira ya kufunguliana kibiashara, imekubali itatia saini baada ya kuona mwanga. Hivyo soko la watu zaidi ya bilioni moja linazidi kutanua na kama wasemavyo wengi, yajayo yanafurahisha.

Wakati huo huo Kiswahili chapokelewa kama lugha rasmi ya Afrika, hivyo kwa kufunguliana kibiashara Afrika yote na kufanya Kiswahili lugha yetu, tunakwenda kwa kasi kwenye kuunganisha bara hili. Rais Uhuru anatarajiwa kuhudhuria kikao cha huu muungano mpya wa Afrika utakaofanyika Niamey, NIger. Jitihada zake rais Uhuru ni muhimu sana maana yeye amehusika pakubwa kwenye kuhamasisha muungano kupokea Kiswahili. Ikizingatiwa pia Wakenya wanakwenda Afrika Kusini kufundisha Kiswahili.

Wanaoendelea kununa waendelee, labda ipo siku watajishtukia, au waamshwe kwa vibao

Nyie si ndo mnataka kupiga waafrika wenzenu wanaoishi Kenya? Lakini mnawaacha wachina na wahindi?
 
Nyie si ndo mnataka kupiga waafrika wenzenu wanaoishi Kenya? Lakini mnawaacha wachina na wahindi?
Jaguar anataka sio Wakenya wanataka...mbiba lugha unayojivunia inakuwa ngumu kwako kuielewa?
Nyie ndio wabaguzi wakubwa, angalia vile umeingia kwenye uzi huu kwa hasira. Ni Mwafrika mgani amepigwa au kubaguliwa Kenya ukilinganisha na Wakenya wanaobaguliwa Tanzania? Wacha unafiki na umbea.
Nchi yenu ndiye mbaguzi mkubwa haijangia kwenye huu mkataba wa kuwaunganisha Waafrika wote.
 
Hawa jamaa wanapenda sana kutembelea nyota yetu
Tanzanite walijifanya yao,mlima Kilimanjaro wanajifanya upo kwao na sasa wanataka kukifanya kiswahili kiwe chao
 
Nairobi ikifanikiwa kuwa makao makuu ya AfCFTA Kenya itafaidi pakubwa. Hakuna mkataba wa kibiashara duniani ambao umeshirikisha nchi nyingi zaidi ya huu mkataba wa nchi 50 za Afrika. Yaani nchi zote za Afrika zimeungana kufanya makubwa, isipokuwa Tanzania na Benin.
 
Hawa jamaa wanapenda sana kutembelea nyota yetu
Tanzanite walijifanya yao,mlima Kilimanjaro wanajifanya upo kwao na sasa wanataka kukifanya kiswahili kiwe chao
Waafrika wote walipokuwa wakiungana nyinyi hapo mlijivimbisha vichwa na hamkutaka kabisa kujihusisha na wenzenu. Sasa lugha ya kiswahili ndio itakuwa lugha rasmi ya biashara Afrika chini ya huu mkataba wa AfCFTA. Nchi ya Kenya pekee ndio imesalia kama nchi inayowakilisha kiswahili kwenye huu muungano wa kibiashara wa nchi za kiafrika. Fursa ndio hizi zinatuandama, mtanuna hadi mfe.
 
Nigeria ambayo ilikua kwenye miongoni mwa mataifa machache yanayonunia muungano wa Afrkia wenye dhamira ya kufunguliana kibiashara, imekubali itatia saini baada ya kuona mwanga. Hivyo soko la watu zaidi ya bilioni moja linazidi kutanua na kama wasemavyo wengi, yajayo yanafurahisha.

Wakati huo huo Kiswahili chapokelewa kama lugha rasmi ya Afrika, hivyo kwa kufunguliana kibiashara Afrika yote na kufanya Kiswahili lugha yetu, tunakwenda kwa kasi kwenye kuunganisha bara hili. Rais Uhuru anatarajiwa kuhudhuria kikao cha huu muungano mpya wa Afrika utakaofanyika Niamey, NIger. Jitihada zake rais Uhuru ni muhimu sana maana yeye amehusika pakubwa kwenye kuhamasisha muungano kupokea Kiswahili. Ikizingatiwa pia Wakenya wanakwenda Afrika Kusini kufundisha Kiswahili.

Wanaoendelea kununa waendelee, labda ipo siku watajishtukia, au waamshwe kwa vibao


Hivi Kwa nini huwa mnaiona Nigeria kama ina lolote la Maana?
To me Nigeria is the most shithole country of the World, that wretched Country is where the true meaning of Corruption revealed,
Imagine Nigeria ina Uchumi mkubwa Kuliko Singapore, SA, Egypt
Unfortunately huwezi tofaitisha Nigeria na Malawi..
Mbaya Zaidi uchumi wa Nigeria ni Predominantly Oil Driven, Meaning that wanapata bulk money from oil,
Now comparing SA, Morocco, Algeria and Egypt to Nigeria is like Comparing Kenya to Singapore [emoji2]
 
Jaguar anataka sio Wakenya wanataka...mbiba lugha unayojivunia inakuwa ngumu kwako kuielewa?
Nyie ndio wabaguzi wakubwa, angalia vile umeingia kwenye uzi huu kwa hasira. Ni Mwafrika mgani amepigwa au kubaguliwa Kenya ukilinganisha na Wakenya wanaobaguliwa Tanzania? Wacha unafiki na umbea.
Nchi yenu ndiye mbaguzi mkubwa haijangia kwenye huu mkataba wa kuwaunganisha Waafrika wote.
Ninyi ni watu wapenda maslahi hamna maana kabisa, wakati wa kuikomboa Africa, mlijiweka pembeni hamkutaka kushirikiana na waafrika, hamkutaka kupata hasara.

Wakati wa kuku Kiswahili ninyi mlikidharau na mkakumbatia Kiingereza, sasa hivi kwasababu mambo yanaenda vizuri, eti mnajiweka mbele.

Ni kichekesho kusikia mtu anasema Uhuru Kenyatta alisaidia kukuza na kukisambaza Kiswahili Africa, wakati yeye mwenyewe hakijui vizuri na hakitumii ofisini kwako
 
Hivi Kwa nini huwa mnaiona Nigeria kama ina lolote la Maana?
To me Nigeria is the most shithole country of the World, that wretched Country is where the true meaning of Corruption revealed,
Imagine Nigeria ina Uchumi mkubwa Kuliko Singapore, SA, Egypt
Unfortunately huwezi tofaitisha Nigeria na Malawi..
Mbaya Zaidi uchumi wa Nigeria ni Predominantly Oil Driven, Meaning that wanapata bulk money from oil,
Now comparing SA, Morocco, Algeria and Egypt to Nigeria is like Comparing Kenya to Singapore [emoji2]

Kila taifa ndani ya Afrika yote ni shithole, tumetukanwa vya kutosha, ndio maana tumeamua kufanya kitu kinachoitwa reset, tuanze upya, muamko mpya, soko la watu zaidi ya bilioni moja kutegemeana bila mipaka tuliyochorewa na mzungu kisha akageuza.
Wewe hapo Mzungu aliamuru muitwe Watanzania, huku akasema tuitwe Wakenya, baadhi ya makabila yetu mpakani hapo, watu wa kabila moja, ndugu kabisa lakini wanaonana kwa misingi ya mipaka waliyowekewa, hauwezi kumuuzia chochote mjomba wako ndugu wa damu wa baba yako kisa yupo upande wa pili wa mpaka wa kikoloni.
Hivyo muungano huu sio ligi mlizozoea, hatupo kushindana na Nigeria wala taifa lolote, tunaungana ili tuandike historia upya.
 
Kila taifa ndani ya Afrika yote ni shithole, tumetukanwa vya kutosha, ndio maana tumeamua kufanya kitu kinachoitwa reset, tuanze upya, muamko mpya, soko la watu zaidi ya bilioni moja kutegemeana bila mipaka tuliyochorewa na mzungu kisha akageuza.
Wewe hapo Mzungu aliamuru muitwe Watanzania, huku akasema tuitwe Wakenya, baadhi ya makabila yetu mpakani hapo, watu wa kabila moja, ndugu kabisa lakini wanaonana kwa misingi ya mipaka waliyowekewa, hauwezi kumuuzia chochote mjomba wako ndugu wa damu wa baba yako kisa yupo upande wa pili wa mpaka wa kikoloni.
Hivyo muungano huu sio ligi mlizozoea, hatupo kushindana na Nigeria wala taifa lolote, tunaungana ili tuandike historia upya.
kwanza kabisa jina tanzania halikutoka kwa wakoloni kwani mpaka wanaondoka halikuwepo halafu kwa kukusaidia mjomba sio ndugu wa damu wa baba bali ni ndugu wa damu wa mama .kiswahili bado hakijawa lugha rahisi kwa wakenya
 
Back
Top Bottom