BARD AI
JF-Expert Member
- Jul 24, 2018
- 3,591
- 8,826
Sababu nyingine ni Kupuuza Uwepo wa Baba katika Malezi, Kudharau na Kudhihaki Majukumu ya Mama, Kuondoa Umuhimu wa Ndoa na Kujenga Familia pamoja na Kuonesha kuwa Familia ni Kikwazo kwa Maendeleo ya Mtu hasa kwa Wanawake.
Licha hayo, Filamu hiyo imeongoza kwa kwa kuingiza Tsh. Trilioni 2.5 katika mauzo ya Tiketi za 'Box Office' duniani kote tangu ilipoanza kuoneshwa Julai 21, 2023.
===============
Algeria has banned the movie “Barbie,” which had been showing at some cinemas in the country for several weeks, an official source and the local 24H Algerie news site said on Monday.
The official source said the film “promotes homosexuality and other Western deviances” and that it “does not comply with Algeria’s religious and cultural beliefs.”
Starring Margot Robbie and Ryan Gosling as Barbie and Ken, the movie sends Mattel Inc’s doll on an adventure into the real world. The film has topped $1 billion in box office ticket sales worldwide since its July 21 debut.
Kuwait has also banned the film.
Algeria’s Culture Ministry supervises the contents of films projected in cinemas and can stop them being shown.
JPOST/BBC