Kwani mnigeria akikufahamu utafaidika na nini?
Utapeli uko kwenye damu walahiNigerians misbehave everywhere they go
Its really foolish to celebrate this.
Mmesahau reciprocity? Saiv automatically hakuna mtanzania kuingia Nigeria bila visa pia.
Punguani wewe walahi umeamkia kichaka ganiHongereni kwa kupata kiki ya kusemwa na baadhi ya Wanaijeria, mlikua hamfahamiki.
Sawa huo msemo upo lakini hata kama ndio imekua hivyo what next? Common Nigerians wana impact ipi Tanzania? They are like you, empty sets for nothing about us.Kuna ule msemo wa 'Nikutukane ndio ujulikane', sasa hapo mlitafuta msemwe na Wanaijeria maana itawapatia kiki.
Better off.Its really foolish to celebrate this.
Mmesahau reciprocity? Saiv automatically hakuna mtanzania kuingia Nigeria bila visa pia.
Wewe unazeeka Vibaya, nimekuwa nikiliona hili, unajua kadiri unavyokuwa mzee akili hugeuka na kuwa kama ya mtoto.Hongereni kwa kupata kiki ya kusemwa na baadhi ya Wanaijeria, mlikua hamfahamiki.
The average Kibera dweller would be considered rich in Tanzania.
Sawa huo msemo upo lakini hata kama ndio imekua hivyo what next? Common Nigerians wana impact ipi Tanzania? They are like you, empty sets for nothing about us.
Yaani tukisemwasemwa na hao wa naijeria inatusaidia nini?Ndio maana nikasema kwenu ni kiki maana kusemwa semwa na Wanaijeria inawawezesha nyie kuanza kuonekana onekana, kuna wenzako hujaribu kuibua mada nao kule Nairaland lakini wanapuuzwa kama vyura wanaojaribu kumzuia ng'ombe kunywa maji.
Sasa Germany π©πͺ huko mpaka districts zina be named after us and we are cool π itakua huko naungulukulu?Ndio maana nikasema kwenu ni kiki maana kusemwa semwa na Wanaijeria inawawezesha nyie kuanza kuonekana onekana, kuna wenzako hujaribu kuibua mada nao kule Nairaland lakini wanapuuzwa kama vyura wanaojaribu kumzuia ng'ombe kunywa maji.
The average Kibera dweller would be considered rich in Tanzania.
kwani kwa wakenya kufahamika na wanajeria ni sifa kuu?.Hongereni kwa kupata kiki ya kusemwa na baadhi ya Wanaijeria, mlikua hamfahamiki.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Wewe unazeeka Vibaya, nimekuwa nikiliona hili, unajua kadiri unavyokuwa mzee akili hugeuka na kuwa kama ya mtoto.
Try to Check on your dietary intakes. Punguza alcoholic fluids.
kwani kwa wakenya kufahamika na wanajeria ni sifa kuu?.
wee jamaa bhana....
Mzee unavyoenda kunywa chang'aa hakikisha umeshiba vya kutosha sio unapiga debe la chang'aa kwa tumbo upo emptyHehehehe.... Hii sindano naona imewadunga kweli, nakupa mfano, kuna wasanii humchokonoa Diamond Platinum ili awatukane ndio wafahamike na kuandikwa kweye magazeti, sasa kwa jinsi nyie mpo mpo tu, hamsikiki kwa chochote, inawabidi kutafuta ugomvi na Wanaijeria ambao kidogo wanaskika kwa makelele yao duniani, ili wawataje kwenye forums zao.
Sisi tumefahamika duniani hivyo Wanaijeria hatuwahitaji kwa kiki, kwanza wao tulishagombana nao kwenye Twitter had dunia ikasimama.
Mzee unavyoenda kunywa chang'aa hakikisha umeshiba vya kutosha sio unapiga debe la chang'aa kwa tumbo upo empty
meanwhile in KenyaSasa Germany π©πͺ huko mpaka districts zina be named after us and we are cool π itakua huko naungulukulu? View attachment 896197
Tazameni hawa wakenyaView attachment 895853
Basi they deserve it!Since zamani, mtanzania alihitaji kuomba visa kupitia ubalozi wa Nigeria nchini. Hapajawahi kuwa na Visa on arrival kwa MTZ yeyote wa kawaida kwenda Nigeria...labda deplomats hao sijui. But I do support this move...they closed their border for so long...why should we give them (Nigerians) easy access to our country? I have been there so naongea nilivohangaikia visa yao.