Yaani umekosa maswali ya adabu ya kuulizaAlishakupa mzigo lakini?
Hebu nenda halafu kesho nitakuelezea ulisema niniNgoja nimzamie pm..
Yeye anampenda Tatiana ila Tatiana ananipenda mimi.Wanaume, hamtaki mwanamke apendwe?
Tumchane nini ukweli? Au atajinyonga?Babu ukongwe sio suluhisho na kithibitisho au tuseme kidhibitisho
Acha uongoYeye anampenda Tatiana ila Tatiana ananipenda mimi.
Niko naye na natamba naye😆😍😁.
Aacha tumchanechane akijinyonga tutampa pole naamini atazipokeaTumchane nini ukweli? Au atajinyonga?
Hebu chana nioneTumchane nini ukweli? Au atajinyonga?
Hahaha apendwe na wangapi? Hilo umelisahau hapo pigia mstariWanaume, hamtaki mwanamke apendwe?
Uje ujinyonge, hapana...Hebu nenda harafu kesho nitakuelezea ulisema nini
Afadhali wewe umeelewaNimeona hapo juu umesema ninyi sio wapenzi tu, Bali ni Mke na Mume
Wakati mwingine, sio vibaya kutumia Lugha yetu pendwa ili Vijana wengine wenye Nia kama yenu, kuweza kupata cha kujifunza kabla hawajaanza kupostiana humu.
Kila la heri Mkuu 👏👏👏
Hapana mtumie pm zako kesho nakuelezea hapa hapaUje ujingonge, hapana...
Atakuja kesho maana utamu ninaompatia umemfanya asahau kama ana account JF.TATIANA hebu njoo uone huku
Tupa ndoana hioUje ujingonge, hapana...
Sawa lakini anafahamu kua anapendwa vizuri na choteraAtakuja kesho maana utamu ninaompatia umemfanya asahau kama ana account JF.
Hahaha kwa hio umefanyaje?Hapana mtumie pm zako kesho nakuelezea hapa hapa
Huyu jamaa sio mwenzetu, hii sample tunaishangaa vijana wa humu, vijana wa jf tupo makundi mawili tu, wanaokataa ndoa na hawaamini wanawake na ambao hawaamini wanawake lakini wanakubali ndoa, sasa hii njemba sijui imetokea wapi..Wanaume, hamtaki mwanamke apendwe?
Najua atanieleza tuHahaha kwa hio umefanyaje?
Muda huu yupo amekamatia fimboyaukwajuSawa lakini anafahamu kua anapendwa vizuri na chotera