Night message to Tatiana. You know that I love you

Nimeona hapo juu umesema ninyi sio wapenzi tu, Bali ni Mke na Mume

Wakati mwingine, sio vibaya kutumia Lugha yetu pendwa ili Vijana wengine wenye Nia kama yenu, kuweza kupata cha kujifunza kabla hawajaanza kupostiana humu.

Kila la heri Mkuu 👏👏👏
 
Afadhali wewe umeelewa
 
Wanaume, hamtaki mwanamke apendwe?
Huyu jamaa sio mwenzetu, hii sample tunaishangaa vijana wa humu, vijana wa jf tupo makundi mawili tu, wanaokataa ndoa na hawaamini wanawake na ambao hawaamini wanawake lakini wanakubali ndoa, sasa hii njemba sijui imetokea wapi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…