Endeeleni hivo hivoHuyu jamaa sio mwenzetu, hii sample tunaishangaa vijana wa humu, vijana wa jf tupo makundi mawili tu, wanaokataa ndoa na hawaamini wanawake na ambao hawaamini wanawake lakini wanakubali ndoa, sasa hii njemba sijui imetokea wapi..
Nakueleza kwanza humu hakuna anayefahamu Yuko wapi na pm zote naziona anytimeMuda huu yupo amekamatia fimboyaukwaju
What A Wonderful World na Louis ArmstrongMapenzi mubashara...
Nami nichukue nafasi hii kumtakia heri ya siku ya kuzaliwa mzee mwenzangu, mwanangu wa damu kabisa Makiwendo mungu atimize ndoto zako. Huna baya kabisa na mimi, nakukubali hilo unalijua.
Mbinguni, utakaa kwenye siti yangu, mie nitasimama.
Oya Tusepe hahaha nimecheka sanaNakueleza kwanza humu hakuna anayefahamu Yuko wapi na pm zote naziona anytime
Nampenda na ananipenda Sana ni vile haujui tuOya Tusepe hahaha nimecheka sana
Atakuezaje tena mkuu utamu wa fimboyaasali ?Najua atanieleza tu
Bro, unamfahamu Baltazar Engonga? Yule amekula wake za watu tena wake za watu wazito serikalini kwa sababu walikuwa simp kama wewe, Mwanamke hata umnunulie benz E class, AMG model ya 2024, kuna siku utapigwa na kitu kizito...Hapana mtumie pm zako kesho nakuelezea hapa hapa
Pendaneni kiasi cha kuona kawaida akiwa kwenye michakato ya kuzishika fimbo nyingineNampenda na ananipenda Sana ni vile haujui tu
Ni raha iliyoje kuwa na mwanamke anayependwa na mwanaume mwingine lakini akakupenda zaidi.Muda huu yupo amekamatia fimboyaukwaju
Wewe unataka mleta mada ajitafutie kamba ya katani muda huu?Ni raha iliyoje kuwa na mwanamke anayependwa na mwanaume mwingine lakini akakupenda zaidi.
Utamu mpaka Kwa kisogo.
We anakupenda Kwa sababu ya pesa unazompa/unamhonga, Mimi ananipenda kisa namchabanga Kwa mkia wa mbele kisawa sawa.Nampenda na ananipenda Sana ni vile haujui tu
jamani jamani fimbo ya ukwaju ni fimbo ya ukwaju tu tuMuda huu yupo amekamatia fimboyaukwaju
Kama Baltazar vile...We anakupenda Kwa sababu ya pesa unazompa/unamhonga, Mimi ananipenda kisa namchabanga Kwa mkia wa mbele kisawa sawa.
Upo!
Umenena.Kama Baltazar vile...
Mkuu ni kweli we ndiye umemkamatia tatiana wa huyu mleta mada?jamani jamani fimbo ya ukwaju ni fimbo ya ukwaju tu tu
Kama kawaida yangu.Mkuu ni kweli we ndiye umemkamatia tatiana wa huyu mleta mada?
hapanaMkuu ni kweli we ndiye umemkamatia tatiana wa huyu mleta mada?
Umefanya vizuri kuonesha waziwazi hisia zako Kwa huyo Mkeo.Afadhali wewe umeelewa
Kama mkia wako wa mbele hautoshi/haufanyi kazi ipasavyo hata umpende mpenzi/au make vipi utakuwa huna tofauti na mtu anayepaka rangi kwenye upepo.Umefanya vizuri kuonesha waziwazi hisia zako Kwa huyo Mkeo.
Kuna wakati Wake/wapenzi wetu hupenda kuoneshwa mapenzi waziwazi
Hii humfanya ajisikie na kujiona wa Thamani mno kwako
Niwatakie Kila la heri Mkuu
Let's meet at the top 🥂